Natafuta nyumba ya kupanga.

Natafuta nyumba ya kupanga.

chindo

Senior Member
Joined
Oct 6, 2013
Posts
166
Reaction score
102
Habari wana jamvi , natumai ni wazima.

Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia magomeni hadi kimara mwisho.

Nyumba iwe ya kuanzia vyumba viwili vya kulala sebule master na sitting room.

Offer yangu ni sh laki moja na nusu hadi mbili.

Mwenye nayo pls ani pm.
 
mkuu kwa laki na nusu hadi laki 2 mmh utapata lakn
 
Habari wana jamvi , natumai ni wazima.

Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia magomeni hadi kimara mwisho.

Nyumba iwe ya kuanzia vyumba viwili vya kulala sebule master na sitting room.

Offer yangu ni sh laki moja na nusu hadi mbili.

Mwenye nayo pls ani pm.
ninayo nitafute ila kwa 350,000/- kwa mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom