Habari za asubuhi wadau?
Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga.
Gunia 1 = debe 6 (si chini ya kilo 100)
Bei kwa gunia 1: 60,000 Tshs
Mpunga upo Ndala (Tabora)
0763718328
USWAZI FM
Support yenu kwa hii redio yetu online tusikilize live on mixlr pia unaweza kutusikiliza kwa kupakua application ya mixlr katika playstore pia unaweza kusikiliza moja kwa moja kwa...
Nauza viwanja viwli vyenye ukubwa wa 23*22 maeneo ya dege kigambon. Mita 50 kutoka barabara kuu yenye lami. Huduma za kijamii zipo zikiwemo umeme pia. Kwa kua vina ukubwa sawa bei pia znafanana...
wandugu nauza smart phone ya samsung gravity smart au galaxy q yenye android na full specs za smart phone for only 200,000/= tuwasiliane kwa pm kama una nia
kama unataka kuiona angalia hapa
Ni fenty puma shoes kwa wadada, bei nzuri 30000 , Dar tunafanya delivery na mikoa mingine tunatuma pia kwa mahitaji ya accessories cheni, hereni bracelet nk karibuni.
Cont 0767 62 69 90 whtsaap
Brand new!!
Series: 5
Model: J5100
Full HD 1920 x 1080 resolution
Clear motion rate 100
Wide color enhancer
Connect share USB
connect share HDD
connect share TRANSFER
sound out 20w
Story replay...
Ipo katika hali ya kulizisha inafanya kazi, ni kwa bei ya 12M Tegeta - Dsm, ni pm tuzungumze na kubadirishana mawasiliano
Aina ya engine ni CC 2500 petrol 2RZ, imeshatembea km 125,300