Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo Dar, nahitaji kingamuzi hicho kwa anayeuza aje PM tuzungumze
0 Reactions
3 Replies
620 Views
At Ziwa Garments and Apparel, we manufacture and brand Corporate Uniforms, Company staff Uniforms, we print full colour custom tee / custom t shirts, Polo shirts and various other uniforms. Our...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hivi vinegar cider Apple inatikana wapi? Na bei yake inaweza kuwa sh ngapi kwa anaejua
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Boom j8 inauzwa TSH 340k inapatkana dsm kwa serious buyer njoo pm<br /><br />
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ninauza toyota progress ikiwa katika hali nzuri gari haina tatizo lolote haijawahi kufunguliwa injini AC inafanya kazi vizuri bei ni mil 6 ila haipungui anagalia picha ukipenda njoo tuongee 0656497469
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza pikpik Suzuki cc60 na speed60 vespa ina vibali vyote ila ina no. za Zanzibar ni ndongo mtu mmoja inasumbua plug tu nipo mitaa ya kinondon mkwaajun bei ni 400,000\ tu. sijui kuaplog picha...
0 Reactions
1 Replies
747 Views
Sitting room Master 1 Single 3 Full tiles Umeme maj vipo 0620712725
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Viwanja vinauzwa kilwa road dar, Nyuma ya kiwanda cha bakhresa panaitwa chatembo, Bei mil.3, Ukubwa 50×50 kipimo cha futi. Kwamawasiliano/maelezo zaid 0683775566, 0714775566. [...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kwa siku mbili mfululizo najaribu kupata shule walizopangiwa wanafunzi wa darasa la saba mwaka huu (2016) bila mafanikio.Je kuna mtu anaweza kunijuza wapi naweza kuyapata?au akaniwekea link...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
WADAU NIPO DAR ES SALAAM- POSTA NATAFUTA NEW NOKIA LUMIA NITAPATA DUKA GANI GENUINE MAANA FEKI NYINGI MJINI
0 Reactions
6 Replies
1K Views
gari iko vizuri sana kuanzia body hadi mashine..... Engen ni 1g kavu Imetembea kilomita 152000 Haidaiwi vibali... Bei ya kuuzwa ni 3.7mln Kwa mawasiliano zaidi piga Sim 0715591141....dan
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu mzigo ninao kwa anaejua sehemu wanapouza anistue
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam Kinahitajika chumba kimoja self contained pekee au sebule na chumba self contained maeneo ya ubungo au kimara. Mhusika:mdada mtu mzima na ni mfanyakazi. Naomba mnisaidie maana yeye...
0 Reactions
4 Replies
757 Views
Nauza kiwanja milion sita kipo kihonda mkundi kwa chaula. Kiwanja kimepimwa na kina offa na kipo sehemu nzuri. Mawasiliano 0752481398
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Habari zenu wana jf, kunadharura imetokea iliyosababisha uhitaji wa fedha kwa haraka inabidi niuze gari hii Naomba kwa atakaye hitaji tuwasiliana kwa Namba 0713926364 Bei ni Tsh 13 mil Karibuni
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Check out @Udadisi's Tweet:
0 Reactions
2 Replies
627 Views
Kwema wana JF naomba kuuliza kama naweza kupata mojawapo ya hizo simu ikiwa bado mpya
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Ipo kwenye hali nzuri kabisa 4gb bei 140,000 tu wasiliana nami 0714574219
0 Reactions
0 Replies
446 Views
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…