Masada kupata nyumba ya kupanga Tanga

Mkuu subiri madalali waje watakusaidia, lakini kurahisisha zaidi ungesema unapendelea Tanga sehemu gani maana Tanga kubwa kuna Raskazone,Sahare ,Donge,Mikanjuni,Nguvumali,mabawa, msambweni, kwaminchi, Kange, Magomeni, Barbara za namba 1-20, makorora, magaoni,n.k. Pia weka na bajeti una uwezo wa kulipa sh ngapi kwa mwezi, uzuri wa Tanga wengi wanapokea kwa miezi 6.
 
Oya Mkuu ,,Sie Tuna Nyunba yetu iko Tanga mjini Pale Mwang'ombe kwa Mbunge ,,,mazingira ni Mazuri na Vyumba vipo ,,ivo Kama utapenda Ni Dm
 
Mkuu subiri madalali waje watakusaidia, lakini kurahisisha zaidi ungesema unapendelea Tanga sehemu gani maana Tanga kubwa kuna Raskazone,Sahare ,Donge,Mikanjuni,Nguvumali,mabawa, msambweni, kwaminchi, Kange, Magomeni, Barbara za namba 1-20, makorora, magaoni,n.k. Pia weka na bajeti una uwezo wa kulipa sh ngapi kwa mwezi, uzuri wa Tanga wengi wanapokea kwa miezi 6.
Ningependelea maeneo ya Barabara za namba, chumbageni, bombo area, usagara nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom