Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ya kisasa na yenye finishings ya hali ya juu inapangishwa Changanyikeni Mbuyuni, karibu na hostel ya Jesus Village. Ni KM 1.5 kutoka Chuo Kikuu cha Dsm na pungufu ya KM 1 kutoka Chuo Kikuu...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Haya tena kwa wale wajasiriamali wenzangu...mashine hii ya kuchoma Kuku inauzwa. Unaweza kuweka Kuku zaidi ya 25 kwa wakati mmoja...machine hii unaweza tumia gesi au umeme! Bei ya kuuza ni tsh...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tunafanya delivery Get your valentine gift mapema Call or text 0653580091 Zipo chache.
1 Reactions
0 Replies
640 Views
Wandugu natafuta makochi ya kununua mapya set mbili ya watu sita .Budget yangu ni 2.5m kwa set na yasiwe ya kitambaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajasiliamali wenzangu ninauza vifaranga vya ndege niliowataja hapo juu kwa bei nzuri kabisa. Ni cheki kwa namba hizi 0757660554-Arusha Spec: Red Wattle Helmeted Guinea Fowls 3 months old...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kwa wasomaji wa biblia APP hiyo itawasaidia.. Bible Tips - Android Apps on Google Play
0 Reactions
2 Replies
742 Views
wakuu nauza jiko la gesi la mihan liko complete kwa elfu 50 tu.. nimetumia kama wiki tatu ila gesi ipo na inakaa mda mrefu sana inategemea na matumizi yako..npo dar kama unahtaji na upo serious...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Bei 100,000 fixed Nimekitumia miezi 4 tu,hakina tatizo lolote Sababu ya kuuza:Nahama napunguza mizigo Nipo Moshi Contact:0674057335 au 0758293598 only if your serious
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF... Nauza baadhi ya vifaa vya ofisini hasa kwa watu wenye nia ya kufungua ofisi.. Sababu ya kuuza ni kwamba nimetanua ofisi hivyo nimehamia sehemu nyingine kwa hiyo nalazimika...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Machine imeuzwa ***Thread Closed***
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimeyatumia Mwezi 1 Tu Na Nilibadilisha Ili Nifunge Tubeless Tyre, Bado Mazuri Kabisa Na Kwa Mpambanaji Yatakufaa Sana, Nicheki Kwa Namba 0715488421
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Napenda kujitokeza kama mwanafunzi niliyesoma Sengerema Sekondari(O&A)level. Naitwa Changanya Bulimbo, nilisoma hapo 1985-1988 O' level. Baadhi tumeanzisha umoja ambao makao makuu yapo Dar es...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Nauza Adidas size 37-45...unaweza vaa sare na umpendae...kwa sh 40000...kila pea...karibuni xn Maongezi yapo no[emoji117] 0654729498
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Mimi ni mwalimu wa masomo ya Geography, Civics na Kiswahili. Napenda kufanya kazi private kwa mkataba mrefu. Nipo tayari kutoa vyeti vyangu kama dhamana. Nipo tayari kufanya kazi popote Tz...
0 Reactions
10 Replies
971 Views
Heshima kwenu wote. Jamaa yangu anahitaji simu tajwa hapo juu,anapendelea ziwe used lakini ziwe kwenye hali nzuri. Mwenye nayo/nazo awasiliane naye kwa namba 0718255028 Anahitaji Samsung note1 na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Carfromjapan wanaendesha bahati nasibu ya jishindie gari kwa muda wa miezi 12. Droo ya kwanza ni mwezi wa pili tarehe 20 gari mbili kutolewa kila mwezi na gari 4 kila baada ya miezi 3 Huitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitaji chakula cha kuku kwa bei ya kawaida nimepatwa na uhaba wa chakula cha kuku wangu mana uku nilipo chakula cha kuku bei ya juu sana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimeletwa viatu kutoka USA ila ni vikubwa kwangu so kwa yoyote ambae atapenda kuvinunua anipm
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…