Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani wanateknolojia habari za Asubuhi naomba kujua naweza pata Wapi Drone nzuri waterploof na ikae na chaji atleast masaa 3 na iwe na HD haswa kupiga picha za Usiku.......
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bajet 10m Nahitaji rav4 au voltz au harrier Watsapp 0757865489
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Kwa anaejua zinapopatikana Kwa Dar aje PM faster , isiwe granite iwe marble yenyewe ya Tanga au hata kutoka nje ya nchi ... njoo pm tuongee biashara
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Tsh 935,000 [emoji328]Kamera ya mbele 16MP [emoji328]Kamera ya nyuma 16MP [emoji331]3GB Ram [emoji332]32GB memory. [emoji336]2line ya simu [emoji336]kioo 5.2 inches. Jumla na reja reja...
0 Reactions
2 Replies
781 Views
Wakuu zingatieni kichwa cha habari hapo juu. nauza sofa za watu 7 yaan single 2 duble 1 na lile la watatu limoja. Nauza bei rahis mno. plz ni pm nikuuzie kwa bei ndogo tu
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Dear platform members, am in of 300kg of Green Coffee therefore if you may supply please contact me through +255 676 404 393 also am available on WhatsApp by this number. Thanks in advance
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Nahitaji apartment ndogo yenye vitu vifuatavyo: Master bedroom Sebule Jiko (Not very necessary) Tiles + Gypsum Umeme (luku ikiwa ya kujitegemea itakuwa poa sana) + Maji Natamani iwe karibu na...
0 Reactions
6 Replies
748 Views
Heshima kwenu wajasiriamali wenzangu, naandika uzi huu kwa matarajio kwamba kuna wajasiriamali wengi wadogo/wakati wasio na uwezo wa kumiliki frame/office kwenye maeneo ya barabarani/yanayofikika...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Aina ya property : Kiwanja/Plot Mkoa kilipo : Morogoro Eneo : Kilimanjaro, Njia ya Dodoma M 800 kutoka barabara ya Dodoma. Ukubwa : 1,800 sq.m Low Density Sifa za eneo : Kimepimwa, Kina offer...
0 Reactions
3 Replies
823 Views
Tunauza pumba za mbao kwa wanaoenda kufanyia mambo yao sisi tuna mashine na tunauza mbao hivyo tunazalisha kwa wingi pumba hizi jumla na leja leja nitafute 0715426668
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua bei ya kiwango cha chini ya machine ya kufulia nguo ......ninauhitaji nayo wakuu...... Msaada wenu Plz
0 Reactions
118 Replies
35K Views
Gari aina ya Toyota Spacio inauzwa milion 9,500,000/= mazungumzo yapo,mawasiliano 0755092734/0716515995
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Nauza Vifaa vya cafe kama ifuatavyo:- 1 meza za plastic idadi 4 Bei elf 40 kwa kila moja. 2 Viti vya plastic vile vigumu idadi 12 Bei Elf 12 kwa kila kimoja 3 Mtungi wa Gesi lake oil ule mkubwa...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Mbegu ya vitunguu aina ya Lumuma nyekundu kabisa., inauzwa. Mkulima amekwama hivyo ameshindwa kuitumia Zipo debe nne . 0755155782 kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari JF, Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine) Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa imetumika miezi miwili tu. Bei ni Milioni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
****Mrejesho**** Mashine imeuzwa Thread closed
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari dears, lipstick nzuri...na ambazo ndo habari ya jiji LA makonda, Kwa Tsh 7000 tu Hii ni offa ya kumaliza mzigo 0714547830
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Habari waungwana, Kama una laptop unauza hiwe mpya au used weka specification na price yako. Then tufanye biashara.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…