Solar Zetu Zina Ubora wa Hali ya Juu....
Tunakufuata popote ulipo ndani ya Tanzania.
Huduma zetu ni Pamoja na UFUNGAJI WA SOLAR, UFUNGAJI WA BACKUP NA UUZAJI WA VIFAA VYOTE VYA SOLAR Pamoja na...
Solar Zetu Zina Ubora wa Hali ya Juu....
Tunakufuata popote ulipo ndani ya Tanzania.
Huduma zetu ni Pamoja na UFUNGAJI WA SOLAR, UFUNGAJI WA BACKUP NA UUZAJI WA VIFAA VYOTE VYA SOLAR Pamoja na...
Kibaba ni Program yenye uwezo wa kurahisisha kazi zinazofanywa na Vikundi ya Kuweka na Kukopa yaani ViCoBa, MFI na Upatu.
Ukiwa na Programu hii utahitaji Kompyuta au simu au Tableti ili uweze...
Habari zenu wakuu.
Hembu tujuzane,je Manispaa imeanza kuuza viwanja maeneo ya Masaki?
Au kuna viwanja vipo surveyed maeneo hayo na bei ipoje?
surveyed please,maana kuna watu Dar nimekuta wanalia...
Habari zenu wana jamvi, Kuna Playstation 3(PS3) Inauzwa kwa bei ya kutupwa Laki 2 na elfu 50 ipo katika hali nzuri. Jamaa anaiuza
Qualities zake.
[emoji117] Ina USB ports.
[emoji117] inatumia...
Habari zenu wakuu?
wakuu natafuta mtu ambae yupo dar hapa anayeuza glass screen protectors za simu mbalimbali,kama vile iphone,tecno,samsung na itel kwa bei rahisi ya jumla hata rejareja naomba...
Ipo katika hali nzuri sana. Na ina sifa zifuatazo
Processor : Core i5
RAM : 6GB
HDD : 500 GB
SCREEN : 14 Inches
OS : Windows 10 Pro, 64 Bits, Activated and all drivers installed
PRICE : Tsh...
Habari wanajamii kama upo na ndoto za kuwa ni bilionea nicheki kupitia watsap number +255656202162 nikuonyeshe njia ya kuingia katika ubilionea siri nzito ipo katika kitabu
SALAMU NYINGI KWENU,
Kwa wale wanaotamani kuwa na makazi Morogoro, kuna jirani yangu anauza kiwanja kipo Morogoro mjini, Kata ya Mlimani, mtaa wa Kikundi.
kwa yeyote mwenye uhitaji huo ani-PM...
[1/21, 11:21] Lazaro Kapinga: Nahitaji karoti mwenye nayo anitafute au kama unamfahamu MTU anayelima anitafute. Sihitaji dalali bali kutoka kwa Mkulima. Mzigo unahitajika kila siku ni biashara ya...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, na inavyoonekana kwenye picha hapa chini gari aina ya Suzuki Ignis inauzwa bei ya kutupwa.
Gari ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote...
Nauza sim itel it 1505 (imetumika mwezi 1 tuu)ina warrant ya 2years na inakaa na charge saaana.
Bei Tsh 150,000/=
Mawasiliano piga 0783 724242/0713 724242
Napatikana Dar.