-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal...
Salaam wadau...nauza photocopy mashine aina ya Konica/Minolta C550 Bizhub proffesion. Inaprint A5,A4 na hata A3 .
Nimeitumia kiasi na iko poa sana.Nauza Mil 3.5.Mashine ipo Dar na kwa mawasiliano...
Habari za weekend wana JF
Nauza mashine yenye maelezo kama ifuatavyo:
1. Aina ya mashine ni CANON iR1024A
2. Inauwezo wa a. Printing b. Scanning c. Photocopy
3. Mashine bado ina hali nzuri sana...
NAMNA YA KUTAMBUA UDONGO WAKO
Kupima udongo kwa kutumia vidole
Chukua sampuli ya udongo kwenye kiganja cha mkono kisha ondoa mizizi, changarawe kubwa kubwa na mabaki ya mimea.
Kanda...
Make : Toyota
Model : IST
Mileage : 111,656km
Engine size: 1,500cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2008
Doors : 4
Seats : 5...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Heshma kwenu wakuu..
Mdau wenu kwa sasa nipo Arusha kikazii.
Natafuta nyumba ya kupanga kwa kipindi hikii
Eneo; Njiro..mwisho contena area
Aina; one bedroom apartment/studio apartment plus(+)...
Hizi sehemu hata kama ulizaliwa na kukulia katika miji mitakafu harafu ukatembelea kupata vinywaji, kwa watoto wa kike (wahudumu) walioko hapa lazima ndoa iyumbe tu ama kuvunjika.
Ilibidi...
Nyumba ipo kibaha picha ndege, inavyumba nane double mbili na single nne, na uwanja kidogo upo, ila bado haijapauliwa, msingi umemiminwa na imepigwa pia renta kwa kumiminwa kisha ikamaliziwa kozi...