Nauza Simu, SAMSUNG GALAXY S7, GOLD, ORIGINAL

Stanley Mitchell

JF-Expert Member
Jan 2, 2014
4,576
4,060
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal memory. Specifications nyingine ni izo za Galaxy S7.
HAINA TATIZO LOLOTE na HAIJAWAI KUPIGWA SPANA. Ina Warranty ya 2yrs from Samsung East Africa..
nakupa na box lake, warranty card na risiti yangu mimi niliyonunulia. Pia unapata Charger yake Original (adaptive fast charging) na USB connector, earphones zilipotea.
Nauza kwa sababu binafsi, kufulia ikiwa mojawapo.

Bei ni 1.1M Tshs.

Karibuni wote.
N.B simu ni Original, haina tatizo lolote. Haijawai kupigwa spana ama kuguswa na mikono zaid yangu.
Sitaki ujanja ujanja na uswahili ndo mana nimetoa maelezo ya kutosha.
Ni strictly business.
 
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal memory. Specifications nyingine ni izo za Galaxy S7.
HAINA TATIZO LOLOTE na HAIJAWAI KUPIGWA SPANA. Ina Warranty ya 2yrs from Samsung East Africa..
nakupa na box lake, warranty card na risiti yangu mimi niliyonunulia. Pia unapata Charger yake Original (adaptive fast charging) na USB connector, earphones zilipotea.
Nauza kwa sababu binafsi, kufulia ikiwa mojawapo.

Bei ni 1.1M Tshs.

Karibuni wote.
N.B simu ni Original, haina tatizo lolote. Haijawai kupigwa spana ama kuguswa na mikono zaid yangu.
Sitaki ujanja ujanja na uswahili ndo mana nimetoa maelezo ya kutosha.
Ni strictly business.
Picha
 
Mkuu nashindwa kuweka picha hapa mana ndo nimeitumia, mpaka nitafute simu nyingine kuipiga...
Ila naamini ukiiona haina tofauti na mpya mana ipo kwenye protector nainunua na always ipo kwnye cover lake.
Ila Gold ipo ipo hivi
samsung-galaxy-s7-usa1.jpg
 
Nikupe sh ngap na Samsung s6 edge?
Sasa Mkuu nitoke kwenye S7 nirudi kwenye S6 edge?
Mi nahitaji hela , yani nauza kwasababu nahitaji nimefulia na asset niliyo nayo ni hii simu.
Ningekua sijafulia....huezi ku-trade S7 na anything less than s7 edge!
 
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal memory. Specifications nyingine ni izo za Galaxy S7.
HAINA TATIZO LOLOTE na HAIJAWAI KUPIGWA SPANA. Ina Warranty ya 2yrs from Samsung East Africa..
nakupa na box lake, warranty card na risiti yangu mimi niliyonunulia. Pia unapata Charger yake Original (adaptive fast charging) na USB connector, earphones zilipotea.
Nauza kwa sababu binafsi, kufulia ikiwa mojawapo.

Bei ni 1.1M Tshs.

Karibuni wote.
N.B simu ni Original, haina tatizo lolote. Haijawai kupigwa spana ama kuguswa na mikono zaid yangu.
Sitaki ujanja ujanja na uswahili ndo mana nimetoa maelezo ya kutosha.
Ni strictly business.
Nikupe elfu thelasini 30,000/= mkuu?
 
acha dhihaka na utoto kwenye shida/matatizo ya mtu
jiulize ungekuwa wewe ungefurahi dhiaka za kipuuzi kama unazoleta wewe
Asante mkuu,
Mana anaona mtu anafurahia kuuza kitu chake cha thamani wakati anajua kupata kama iyo tena itachukua muda.
Iyo simu nilipata hela za mkupuo ndo nikanunua wakati ndo kwanza zimetoka...
Sasa hivi sina kitu nimeona niuze tu maana haimake sense kwangu kua sina ela alafu nina simu ya milioni na pointi.
 
Mkuu nashindwa kuweka picha hapa mana ndo nimeitumia, mpaka nitafute simu nyingine kuipiga...
Ila naamini ukiiona haina tofauti na mpya mana ipo kwenye protector nainunua na always ipo kwnye cover lake.
Ila Gold ipo ipo hivi
View attachment 452624
Mkuu nashindwa kuweka picha hapa mana ndo nimeitumia, mpaka nitafute simu nyingine kuipiga...
Ila naamini ukiiona haina tofauti na mpya mana ipo kwenye protector nainunua na always ipo kwnye cover lake.
Ila Gold ipo ipo hivi
View attachment 452624
Simu ya kitoto kabisa hii. Diaspora tunatumia vitu vya hela buana.
 
Tatizo sio hauna ela Bali ujaizoea ela ata nikinunua iyo simu utatumia iyo ela kwa pupa uje tena APA utake kuuza mke sababu ulimuowa ukiwa umepata PESA kwa Mara moja usiiuze lakini jitaidi uzoee pesa
 
Tatizo sio hauna ela Bali ujaizoea ela ata nikinunua iyo simu utatumia iyo ela kwa pupa uje tena APA utake kuuza mke sababu ulimuowa ukiwa umepata PESA kwa Mara moja usiiuze lakini jitaidi uzoee pesa
Asante kwa ushauri ila nimeona bora niiuze tu. Imenipa experience nzuri pia.
 
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal memory. Specifications nyingine ni izo za Galaxy S7.
HAINA TATIZO LOLOTE na HAIJAWAI KUPIGWA SPANA. Ina Warranty ya 2yrs from Samsung East Africa..
nakupa na box lake, warranty card na risiti yangu mimi niliyonunulia. Pia unapata Charger yake Original (adaptive fast charging) na USB connector, earphones zilipotea.
Nauza kwa sababu binafsi, kufulia ikiwa mojawapo.

Bei ni 1.1M Tshs.

Karibuni wote.
N.B simu ni Original, haina tatizo lolote. Haijawai kupigwa spana ama kuguswa na mikono zaid yangu.
Sitaki ujanja ujanja na uswahili ndo mana nimetoa maelezo ya kutosha.
Ni strictly business.
Aisee simu bado ipooo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom