Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna eneo linauzwa maeneo ya dege kigambon ambalo lina ukubwa wa 30*25. Ni jiran na magorofa ya dege mkono wa kushoto kama unaelekea beach ya kichangani. Ni eneo zur ambalo utalipenda mnunuzi. Bei...
0 Reactions
4 Replies
970 Views
Wakuu napangisha chumba na sebule pia kina jiko lake na choo chake dak 5 toka mliman city. Kwa mwezi lak 2 hakuna dalal. 0713401812.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
“Nataka rehema na wala si sadaka” (Mt. 9:13).
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Anatafutwa mtaalam wa kuandaa pizza, sandwich, burger, nk. kwa kiwango cha hali ya juu. Awe tayari kuishi mkoani maana ndiko biashara inakotarajiwa kufunguliwa . (makao makuu ya mkoa fulani...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Nauza simu aina ya Microsoft Lumia 535 imetumika kidogo bei 150,000. Anayehitaji anitumie ujumbe inbox.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kiwanja kinauzwa sumbawanga.mita 20 kwa 30.kipo pande za TTC kwa juu bei maelewano.maelezo zaidi nicheki kwa 0766256865
0 Reactions
2 Replies
603 Views
Nimesoma maelezo kwenye mtandao husika, wameandika kuwa inatumia electricity. Je, is it reliable kwa mazingira yetu ya hapa bongo? Mtu mzoefu naomba anisaidie
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa. Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napatikana Dar na nlikua nahitaji miche michache kwa ajili ya kupanda nyumbani kwangu japo nipate matunda toka nyumbani. Naomba msaada wa kujua wapi...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Ndugu zangu, Kwa jina naitwa Fabian,umri wangu ni miaka 30 nipo mkoa wa Dar es salaam,elimu yangu ni taaluma ya teknolojia ya habari ngazi ya cheti tu,kutokana na kukosekana kwa ajira hapa kwetu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Karibisha ndugu jamaa na wahamie smart na namba zao zilezile za mitandao mingine wapate kuongea BURE mwaka mzima na gharama nafuu kupiga Simu mitandao mingine kwa bei nafuu zaidi.
1 Reactions
1 Replies
725 Views
Shule imesajiliwa ina zaidi ya miaka nane tangu imeanzishwa ina madarasa 15, mabwen 10, nyumba za walim 5, bwalo kubwa la kisasa, store 1, uwanja wa mpira wa miguu (football), uwanja wa mpira...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Make : Nissan Model : Civilian Mileage : 197,200km Engine size: 4,200cc Gasoline : Diesel Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual M/Year : 2000 Doors : 2 Seats ...
1 Reactions
0 Replies
728 Views
kioo inch 15 imetumika ipo kwenye hali nzuri chaji 3hrs haina shida yoyote zaidi ya adapta ilidondoka ikaachia kidogo nauza ninashida nahela fast, tuongee biashara thru 0774808742 NOTE:usinicheki...
0 Reactions
8 Replies
982 Views
Habari zenu wana JF mika mingi sijaingia hapa leo nimewakumbuka kama kichwa cha habari hapo juu hivyo jamani nina nyumba hiyo hapo chini haijakamilika imebaki kupauwa na kuezeka bati tu kwengine...
1 Reactions
70 Replies
13K Views
0 Reactions
0 Replies
504 Views
0689315582 nipigie
0 Reactions
4 Replies
763 Views
Kiwanja size ya 35 *45 mtrs kinauzwa karibu na chuo kikuu cha muhimbili university Kipo kibamba CCM . Kwa maelezo zaidi..piga simu 0757464131 au 0759003146. Mwenyewe sio dalali.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ukubwa wa Kiwanja:sq meter 1200 Ina fensi na getiI kubwa upana meter 4 serv coater ____________________ Master bed rooms: 2 Normal bed room :1 Bafu na choo cha public Jiko la kisasa ndani...
2 Reactions
43 Replies
9K Views
Nauza Sony experia Z1 ipo kwenye hali nzuri kabisa kama mpyaa ina gb 16 storage nicheki 0624055251
0 Reactions
3 Replies
837 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…