Simu ya line moja iko vizur kabsa aina tatizo kabsa
Gb 32
Ram 3gb
Camera 13megapixel
Kwa tsh 400000 mazungumzo yapo ni made in koreaView attachment 484683View attachment 484684nicheki pm
Dondoshaa mawasiliano mkuu nikucheki tunaweza fanya biasharaSimu ya line moja iko vizur kabsa aina tatizo kabsa
Gb 32
Ram 3gb
Camera 13megapixel
Kwa tsh 400000 mazungumzo yapo ni made in koreaView attachment 484683View attachment 484684
Hii G3 unauza laki nne ni mpya mkuu au used?....Kama mpya budget ipo 380K na kama used offer yangu ni 200K.Simu ya line moja iko vizur kabsa aina tatizo kabsa
Gb 32
Ram 3gb
Camera 13megapixel
Kwa tsh 400000 mazungumzo yapo ni made in koreaView attachment 484683View attachment 484684
Kwa bajeti yako hyo kiongoz ngoja nikienda ntakuambia ntakuchukulia simu ya bei hyo unayotaka kiongoz utanipa advance nikitua na mzigo unakuja malizia na kuchukua simu yakoHii G3 unauza laki nne ni mpya mkuu au used?....Kama mpya budget ipo 380K na kama used offer yangu ni 200K.