Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Nafanya kazi ya kutafuta wateja niambie biashara yako au bidhaa ulizonazo, bei na ubora nikuletee wateja pia Kama unaitaji bidhaa tuwasiliane NB:Malipo ni makubaliano kwa wauzaji
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa ushauri wa ujenzi bora wa nyumba,ramani bora nyumba pamoja na ujenzi wa nyumba tuone #PIARA TANZANIA tutakusaidia kufikia lengo lako. Unaweza kutuuliza chochote kile kuhusu ujenzi. Baadhi za...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Natumia Nokia Lumia 520 windows 8.1, nataka Ku upgrade ili niweze kutumia windows 10. Kuna application inaitwa windows 10 upgrade advisor sasa nikitaka Ku upgrade to windows 10 inasema not...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mjasiriamali, nauza maziwa hapa jijini Dar Es Salaam, Natafuta wateja wa maziwa jumla na reja reja, Tuwasiliane kwa namba 0715445846
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Latest version
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Natafuta PAMP ya Mafuta ya Gari aina ya DODGE RAM V8 16 VALVES.....
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Picha inajieleza, mwenye hicho kifaa Tafadhali...tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Plot size 1700 SQM ina title deed. Bei tshs 180 mil maongezi yapo. Kwa maelezo zaidi piga no : +255759510593
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Je wewe ni kijana na hauna ajira na una ndoto za kujiajiri GS POWER INSTALLATION LTD ikishirikiana na KENVISION kutoka Nairobi pamoja na wadau mbalimbali wa CCTV wanakuletea mafunzo ya CCTV CAMERA...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Nyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika. Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi Ukubwa...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Asante kwa kusoma uzii huu kwako wewe mwanajamii forum Nauza nguruwe kwa ajili ya kuchinjwa wapo kumi na tatu, Wapo Marangu mamba mkoani Kilimanjaro, Wanauzito kuanzia kilo 54 mpaka kilo 69,bei...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Jipatie jiko bora na imara la gas one plate kwa Tshs 50,000/=. Call: 0659782778
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Chekiana na mimi Tumeingiza mzigo wa bidhaa za used na Mpya, Electronics, electrical, Na vifaa vya muziki... Mzigo utatumiwa kokote Tanzania.
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwa wanafunzi wa advance na college nauza kitabu cha biology....karibu nipigie kwa namba 0717 550291
1 Reactions
16 Replies
2K Views
"KWA GAMERS" Kwa wataalamu wa I T au ata yeyote mwenye nia ya kufanya biashara ya games online nauza wazo la biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vunja Bei Matelephones. Tunauza Laptops mpyaa na Tablets za kisasa, original full accessories kwa Punguzo la 30% LAPTOP. Brands zilizopo ni Dell, HP, Toshiba, Acer, Assus & Sony. Kuanzia Duo...
2 Reactions
82 Replies
12K Views
Habarini. Natafuta soko la maziwa nipo Dodoma lita 500 kila siku asubuhi bei 1500/- kila lita mawasiliano 0683670160
0 Reactions
25 Replies
54K Views
Wadau nauza maeneo yanayofaa kwa makazi cheka kigamboni kama ufuatavyo; Heka moja-Tsh 15m Nusu heka-Tsh 7m 20*20-milion 3.5 Maeneo haya yote hayako mbali sana na main road. Serious buyer nitafute...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…