Sawa.. Endeleeni kuchimba tu..
Kwa maelezo inategemea na sehemu unayo taka kuchimbiwa hiko kisima...maana kila sehem inategemea na bei.asante
Mkuu, ni Muhimu kueleza mnapatikana mkoa gani, na bei kwa mkoa/mahali ulipo ni shilingi ngapi kwa mita au kilomita, kuna accessories zozote mnazofunga, mnafanya ground water survey? Na kama mnatoa punguzo au bonus kwa wateja wenu? n.k..... ni akili ya kibiashara tu mkubwa. Usitake mteja akufanyie kazi yako.Kwa maelezo inategemea na sehemu unayo taka kuchimbiwa hiko kisima...maana kila sehem inategemea na bei.asante
Ok...nimekuelewa.tunapatikana dar.kila pande za dar huwa tunachimba.gharama zetu zinatokana na maeneo sababu kila sehem..mpka tupige suvey alafu ndo tutajua tunachimba mita ngapi na gharama ni kiasi gani ili uweze kupata maji saf na salamaMkuu, ni Muhimu kueleza mnapatikana mkoa gani, na bei kwa mkoa/mahali ulipo ni shilingi ngapi kwa mita au kilomita, kuna accessories zozote mnazofunga, mnafanya ground water survey? Na kama mnatoa punguzo au bonus kwa wateja wenu? n.k..... ni akili ya kibiashara tu mkubwa. Usitake mteja akufanyie kazi yako.
Maeneo ya wazo hili huwa tunapeleka mashine kubwa aina ya kitera kwaiyo tutakufanyia kwa bei ya sh.million 7 kutokana eneo hilo lina jiwe kali sana na mazingira ya hukoMaeneo ya Wazo hill, maji yako kuanzia 70 meters chini, nataka kiende mpaka 100 meters. Itakuwa bei gani?
hamna branch mwanzaBei za ukerewe zitakua juu sana mkuu sababu huko ni mbali sana na sisi tunapatikana dar es salaam.asante.
Maeneo ya wazo hili huwa tunapeleka mashine kubwa aina ya kitera kwaiyo tutakufanyia kwa bei ya sh.million 7 kutokana eneo hilo lina jiwe kali sana na mazingira ya huko
Contact,Tunapatika dar es salaam