Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

New! New! New Released, smartest Security Over Traditional Car Alarms! Two in one Vehicle GPS system and Car Alarm! New GPS vehicle tracker that works as an alarm ... A tracker and an alarm...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari za kutwa? Nauza kiwanja changu mwenyewe kilichopo Kigamboni Dar es salaam Mtaa wa Mkamba chenge ukubwa wa Meter 25 urefu na Upana Meter 25, kwa thamani ya Tsh 3,500,000 ( Millioni Tatu na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, nahitaji TV ndogo ya nch ya chini kabisa, Iwe na chogo au flat, iwe ktk Hali nzuri na ambayo haijachezewa ndani. Bajeti 40,000 elfu. Niko Dar. Contact 0713196055
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KWA MWENYE KUUZA HAPA DAR NIPE BEI NZURI, PIGA 0627964416
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya sasa hatimaye ile Siku ya kumtafuta miss Magogoni 2017/18 inakaribia kama picha inavyo elezea hapo juu ni tarehe 9 ya mwezi wa nne mahali ni pale pale wanapokutana wajanja wa mjini...
0 Reactions
3 Replies
909 Views
[emoji91] HOT DEAL!!!!!![emoji91] [emoji336]'NEW LG G4' [emoji832]CAMERA: Back: 16MP (2160) Laser Front: 5Mp [emoji832]STORAGE: 32Gb [emoji832]RAM: 3Gb [emoji832]BATTERY: 3000...
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Kiwanja hicho kiwe kiwe kibaha mail moja Pangani, Mlangizi shamba, Kibaha kwa matiasi, Mkulanga Kimanzi chana Kibindu Bagamoyo, Kibiti ikwiriri mbagala kongowe na kwengine. Kisizidi laki 8 ntalipa...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Katika mataifa makubwa dunia yalioendelea dunia yalifanikiwa kufikia utajiri mkubwa duniani kwa kuwekeza Elim bora ktk Taifa lao. Elimu iliowekezwa haikua Elim za ujanja ujanja, Hii ilikua...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
Pikipiki inauzwa ikiwa IPO kwenye hal nzuri....ukinunua tu safari maana IPO vizuri sana... bei yetu 6,000,000/= bei yetu inaruhusu Mazungumzo
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau natafuta mbwa mwenye asili ya German Shepherd au pure breed kwa mwanza nipm au ncheki watsup 0756181677
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Naomba mwenye ufahamu anisaidie. Nahitaji kubwa na imara 0784197727 SMS, whatsapp au piga
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji meza na viti vya plasitiki(used) vilivyo katika hali nzuri mwenye navyo anipm plz
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani habari!………nahitaji spika na mic kwaajili ya maulid ntapata wapi???[emoji33]
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Nauza nusu lita 5000 na lita ni 10000 ni asali mbichi,karibuni nyote ukihitaji ni pm Mikoani pia tunatuma!
0 Reactions
3 Replies
735 Views
Nauza tablet aina ya htc nexus. Ni mpya kabisa na naiuza sababu sina matumizi nayo. Kama uko intrested number yngu hii hapa 0712220207 au 0742194328
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Ninahitaji rav 4 old model namba C au D isiwe nyekundu wala nyeupe nina 9m cash,km itapatikana mwanza au geita itakua nzuri zaidi.
0 Reactions
3 Replies
896 Views
Anayeuza kingamuzi cha startimes kinachotumika kwenye satellite dish naomba tuwasiliane
0 Reactions
2 Replies
626 Views
Hi Guys!! Naulizia availability ya car care products especially in Dar es salaam!! Kwa anayefahamu; ningependa kufahamu ni wapi hasa naweza kuzipata. Car care products ninazoulizia ni pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Wakuu habari za leo. Naomba msaada wenu. Mke wangu anapenda sana leo ale Uyoga na mimi sijui pale unapouzwa. Naomba mnielekeze tafadhali. Asanteni sana!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…