Tunatengeneza, tunasajili na ku host website kwa Tsh 170,000 tu ($80). Hii inahusisha ku design, kusajili domain na hosting
Tunazo design samples nyingi tulizokwishafanya na tunakamilisha kazi...
Habar wakuu
Kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa Buswelu karibia na shule ya sekondari bidii ukubwa ni 20*30 maji umeme vipo
Bei ni milioni nne tu upungufu upo kidogo
Kwa mawasiliano plz call 0763772636
Je wewe unasumbuliwa na
¨ Panya
¨ Mende
¨ Viroboto
¨ Mbu
¨ Inzi
¨ mchwa
Wasiliana na kampuni ya Usafi Classic ndio suluhisho lako
Tunapatikana Kinondoni Manyanya
Mtaa wa brazil mkabala na...
GET THE BEST PRICES IN TOWN
MULTISTAR 2mp Cameras-Indoor,Outdoor,PTZ,Fisheye,Vary focal cameras
LATEST TECHNOLOGY XVR and DVR
Coaxial cables
UTP Cables
Multistar video door bells and much much...
Yeyote Anayeuza DSLR Camera
Sifa Iwe Canon, Olympus Australia Nikon.
Lens Iwe Attached ( Unaweza ubadilisha)
Kama Unayo Au Unamfahamu Mwenyekiti Nayo
Tuwasiliane: 0717421125
Sisi ni Jenga na Jeco ni kampuni iliyo sajiliwa rasmi na tuna umoja(Network) na watengenezaji-Wasambazaji-Wauzaji-Wasafirishaji-wakandarasi-wananchi wanaojenga-Mashikika ya Ujenzi na NGO's...
Habari wadau nyumba inapangishwa mbezi beach mita mia kutoka barabara kuu ya bagamoyo ni chumba master na sebule ipo ndani ya fensi ni nzuri sana usalama upo bei laki mbili na nusu kwa mwezi...
Habari Wana jamvi, nauza Sony Xperia z 1,iko katika hali nzuri kabisa
Nina emergency nahitaji pesa ya haraka so nimeamua kuuza nibaki na kitochi kwa muda
Ku attach picha kumenishinda
0762998333...
Nauza nguo za mtumba grade one
Za kiofisi na casual
Karibuni sana
Duka liko Arusha, philips highway bar
Mikoani tunatuma
0762998333
Instagram :divine_clothing_store _
Nguo za kike zote
Za kiume...
Sallam..wanajamvi nna deal motomoto mwenye uhitaji wa chumba master ipo maeneo ya kisasa Dodoma mjini ipo ndani ya fence na ina tiles ..gypsum na madirisha alluminium maji na umeme uhakika...
Pata dagaa fresh waliokaangwa kutoka mwanza wa kawaida na wale wa viungo
Tunapatikana mwanza mikoani tunatuma
Kwa maelezo na kutoa oda 0759292980
Maandalizi ya ukaangaji
Habari, anatafutwa agent wa ununuzi & usambazaji wa unga wa sembe hapa Dar, kwa yeyote alie tayari ani PM, agent atakua anatoa order yake analetewa mpaka store kwake. Unga wetu ni wa ubora wa hali...