Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunatengeneza, tunasajili na ku host website kwa Tsh 170,000 tu ($80). Hii inahusisha ku design, kusajili domain na hosting Tunazo design samples nyingi tulizokwishafanya na tunakamilisha kazi...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Habar wakuu Kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa Buswelu karibia na shule ya sekondari bidii ukubwa ni 20*30 maji umeme vipo Bei ni milioni nne tu upungufu upo kidogo Kwa mawasiliano plz call 0763772636
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Je wewe unasumbuliwa na ¨ Panya ¨ Mende ¨ Viroboto ¨ Mbu ¨ Inzi ¨ mchwa Wasiliana na kampuni ya Usafi Classic ndio suluhisho lako Tunapatikana Kinondoni Manyanya Mtaa wa brazil mkabala na...
0 Reactions
2 Replies
844 Views
GET THE BEST PRICES IN TOWN MULTISTAR 2mp Cameras-Indoor,Outdoor,PTZ,Fisheye,Vary focal cameras LATEST TECHNOLOGY XVR and DVR Coaxial cables UTP Cables Multistar video door bells and much much...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Kama una toyota allex au raum ni pm tufanye biashara,nambie upo wap,na kilometre ilizotembea gari e.t.c
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Yeyote Anayeuza DSLR Camera Sifa Iwe Canon, Olympus Australia Nikon. Lens Iwe Attached ( Unaweza ubadilisha) Kama Unayo Au Unamfahamu Mwenyekiti Nayo Tuwasiliane: 0717421125
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Sisi ni Jenga na Jeco ni kampuni iliyo sajiliwa rasmi na tuna umoja(Network) na watengenezaji-Wasambazaji-Wauzaji-Wasafirishaji-wakandarasi-wananchi wanaojenga-Mashikika ya Ujenzi na NGO's...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Nauza line za tigo pesa na m pesa Tigo pesa ni 250,000 na m pesa ni 150,000 Anayehitaji call 0714574219
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau nyumba inapangishwa mbezi beach mita mia kutoka barabara kuu ya bagamoyo ni chumba master na sebule ipo ndani ya fensi ni nzuri sana usalama upo bei laki mbili na nusu kwa mwezi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari Wana jamvi, nauza Sony Xperia z 1,iko katika hali nzuri kabisa Nina emergency nahitaji pesa ya haraka so nimeamua kuuza nibaki na kitochi kwa muda Ku attach picha kumenishinda 0762998333...
3 Reactions
5 Replies
918 Views
Nauza nguo za mtumba grade one Za kiofisi na casual Karibuni sana Duka liko Arusha, philips highway bar Mikoani tunatuma 0762998333 Instagram :divine_clothing_store _ Nguo za kike zote Za kiume...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iko nzima haina tatizo, kwa atayehitaji anicheck 0762998333
0 Reactions
4 Replies
765 Views
Natafuta kioo cha nokia xl used mwenye nacho tuwasiliane
0 Reactions
1 Replies
745 Views
Ram 2gb Internal 32 gb Bei 280,000 Inakuja simu tu Water resistance
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Sallam..wanajamvi nna deal motomoto mwenye uhitaji wa chumba master ipo maeneo ya kisasa Dodoma mjini ipo ndani ya fence na ina tiles ..gypsum na madirisha alluminium maji na umeme uhakika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni fundi umeme wa majumbani .kama kuna kijiji umeme unaingia na mafundi wanahitajika naomba taarifa
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Pata dagaa fresh waliokaangwa kutoka mwanza wa kawaida na wale wa viungo Tunapatikana mwanza mikoani tunatuma Kwa maelezo na kutoa oda 0759292980 Maandalizi ya ukaangaji
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Pata dagaa wa kukaanga wa mwanza wa kawaida na wa viungo. Tunapatikana mwanza mikoani tunatuma. Maulizo 0759292980 Maandalizi ya kukaanga
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, anatafutwa agent wa ununuzi & usambazaji wa unga wa sembe hapa Dar, kwa yeyote alie tayari ani PM, agent atakua anatoa order yake analetewa mpaka store kwake. Unga wetu ni wa ubora wa hali...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…