Gym inapatikana wapi tabata

Gym inapatikana wapi tabata

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,446
Reaction score
6,208
Wananzengo habari za hapa bongo Mimi nimtz nilikuwa masomon North Korea kwa mapank nmerudi sasa naishi Tabata reli hivyo nauliza sehemu ya mazoezi hapa Tabata ni wapi ilinikaendeleze maana kule NK ilikuwa lazima upende usipende
 
Wananzengo habari za hapa bongo Mimi nimtz nilikuwa masomon North Korea kwa mapank nmerudi sasa naishi Tabata reli hivyo nauliza sehemu ya mazoezi hapa Tabata ni wapi ilinikaendeleze maana kule NK ilikuwa lazima upende usipende
pembeni ya madona HOSPTALI kuna GYM ya kisasa pale, mpya haina hata mwaka.
 
njoo tabata shule kuna mtaa unaitwa sunbust ulizia loliondo grocery kwa pembeni kuna gym nzuri tu na ina vifaa vya kisasa
 
Nafikiri kuanzia kesho itabidi nianze kuja Mimi nipo hapa Tabata jiran na chuo cha ualimu cha st marry kuna apartment hapa so gym ya jiran ni ipi kwahapa nilipo
 
Segerea Shell ilipokua uchumi supermarket
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom