Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salaam Wakuu.... Usiku wa kuamkia jana niliibiwa vipuli vya gari aina ya Caina Ti T711 DEH Kwakuwa jamii forum ni mtandao mpana nimeona ni vema kuwajulisha ili ambao mna magari mkawa makini msije...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jipatie Unlock code kwa Tshs.7000 Huawei Ascend Y220 Y221 Y320 Y321 Y360 Y511 Y520 Y600 G500 Vodafone Smart VF695 V695 V785 VF795 V795 V200 VF300 Kwa mawasiliano piga 0757426730 tembelea TOP...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Imetumika miezi 3 na wiki mbili... Haina tatizo lolote bado ipo katika mwonekano wa upya kabisa. Bei ni tsh.400000 tu.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kichwa cha habar hapo juu chahusika ,wapi naweza pata zao tajwa hususan kwa mkoa wa morogoro
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Chumba na sitting room choo ndani tiles gypsum pia ina frem na ina eneo kubwa limebaki mbele inapatikana kisemvule nicheki 0718097972
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nauza simu yangu aina ya Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana.Simu haina tatizo lolote,haina scratches wala dent yoyote.Angalia picha ukipenda njoo tuzungumze. 0788309409 Maelewano kidogo yapo
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kujua na bei kwa ekari moja.karibuni kwa pm
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu, alienayo anicheck 0718 55 300 3
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta betri ya Laptop ASUS.
0 Reactions
3 Replies
751 Views
Kama una duka linauza nipe bei yake na duka lapo lilipo nije kufata leo hii au kesho...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hasa LED TV kwa bei nafuu sanaaaa
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari,Tv aina ya aborder inch 24 na dish pamoja na king'amuz chake aina ya star Times,kwa jumla ya Tshs 350000/= NB:napatkana dodoma municipal,receipt zpo coz ni mali yangu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za asubuhi Wakuu, kama mnavoona picha tunauza dagaa wa kukaanga kutoka mwanza kwa bei nafuu kabisa, Ndoo ni sh 50,000 , kilo moja ni sh 8,000 na unaletewa popote ulipo, Tunapatikana dar kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Gari ipo kwenye hali nzr na ni ya mwaka 2005 Bei 7.5ml Bei inamaongezi 0756060183
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Nauza used Tecno C8 ikiwa katika hali nzuri sana. Simu ni yangu binafsi nimeamua kuiuza. Haina tatizo lolote. Haina scratches wala dent yoyote. Angalia picha ukipenda njoo tuongee 0788309409
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Iphone 6 kwa 650,000 Iphone 6s 16gb kwa 850,00 Iphone 6 plus 16 kwa 900,000 Iphone 7 kwa 1,500,000 Iphone 5 kwa 400,000 Iphone 5s kwa 500,000 Simu zote ni mpyaa karibun kwa maelexo zaidi...
1 Reactions
5 Replies
11K Views
Poleni na majukumu Samahani kwa anatejua bei za pool table na faida zake. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu tunatoa huduma zifuatazo:- 1.Tunauza domain extension zote mfano,.com,.org,.tz 2. Tunatoa huduma ya SSL kwa gharama nafuu sana 3.Tunahost site kwa gharama...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Nina karibia kuvuna viazi vya njano ( viazi lishe) naombeni Mwenye connection ya soko na bei ya sokoni Kwa gunia au ndoo 0714547830
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuku na bata (maji) wanapatika kwa bei ya shilingi 20,000. Nipo mbezi mwisho. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Karibuni sana.
0 Reactions
7 Replies
775 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…