Mwitakesowani
Member
- Jul 24, 2012
- 94
- 29
Salaam Wakuu....
Usiku wa kuamkia jana niliibiwa vipuli vya gari aina ya Caina Ti T711 DEH
Kwakuwa jamii forum ni mtandao mpana nimeona ni vema kuwajulisha ili ambao mna magari mkawa makini msije kukutwa na yaliyonipata.. Vifaa walivyoiba ni side mirror,power window na taa za nyuma, vifaa vyote nilivyi labe. Kwa wamiliki wa maduka ya vipuli mjiepushe kununua vifaa toka mkononi mwa watu, kwa yeyote atake ona mtu anauza vifaa tajwa hapo juu awasiliane nami kwa namba 0786855280
Asante
Usiku wa kuamkia jana niliibiwa vipuli vya gari aina ya Caina Ti T711 DEH
Kwakuwa jamii forum ni mtandao mpana nimeona ni vema kuwajulisha ili ambao mna magari mkawa makini msije kukutwa na yaliyonipata.. Vifaa walivyoiba ni side mirror,power window na taa za nyuma, vifaa vyote nilivyi labe. Kwa wamiliki wa maduka ya vipuli mjiepushe kununua vifaa toka mkononi mwa watu, kwa yeyote atake ona mtu anauza vifaa tajwa hapo juu awasiliane nami kwa namba 0786855280
Asante