Sawa mkuuwatakuja wasubiri.
Unahitaji kiwanja cha ukubwa gani? Maeneo gani unapendelea zaidi? Bei yako ikoje? Nije na mapendekezo!habari za leo. Kwa yeyote ambae ni mkazi wa arusha anaefahamu sehemu ambapo kunauzwa viwanja naomba anijulishe. Asanteni ningependa zaidi kama mtu atanipm
Nahitaji kiwanja maeneo ya arusha nje ya mji...kwenye swala la ukubwa sijui maana it's my first time kuanza kununua uwanja....maybe ungeniambia huo mchanganuo niweze kuchaguaUnahitaji kiwanja cha ukubwa gani? Maeneo gani unapendelea zaidi? Bei yako ikoje? Nije na mapendekezo!
Kuna viwanja vipo Ngusero kuanzia 20X20 meters kwa 4mlNahitaji kiwanja maeneo ya arusha nje ya mji...kwenye swala la ukubwa sijui maana it's my first time kuanza kununua uwanja....maybe ungeniambia huo mchanganuo niweze kuchagua
ok sawa nitakuja pm tuongeeKuna viwanja vipo Ngusero kuanzia 20X20 meters kwa 4ml