Nahitaji kukodi shamba, Bungu, Kibiti, Jatibu

Nahitaji kukodi shamba, Bungu, Kibiti, Jatibu

KIJONGA

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
456
Reaction score
374
Kama kichwa kinavyosema, nimepanga kuingia kwenye kilimo katika msimu huu hivyo nahitaji mtu mwenye eneo/anayefahamu mtu wa maeneo hayo mwenye ekari nne na kuendelea na anakodisha anicheki PM tuyajenge.
 
Kama kichwa kinavyosema,nimepanga kuingia kwenye kilimo katika msimu huu hivyo nahitaji mtu mwenye eneo/anayefaham mtu wa maeneo hayo mwenye ekari nne na kuendelea na anakodisha anicheki PM tuyajenge
Shamba la kulima mazao gani ?
 
Sio pembejeo tu uende na ulinzi kabisa....
 
Kule walikosema wajilinde wenyewe ndio kuzuri kwa kulima zao la biashara
 
Kumbe nako mihogo anakubali! Mm nilizani haiwezi kustahimili ukame wa jua Kali kuanzia saizi hadi mwezi wa 11
muda wa kilimo ni kuanzia 11 kwa sasa ni muda wa kuwa na ardhi yenyewe ya kulima hiyo november
 
huko si nilisikia wakulima wote wawe wameondka kabla ya julai mosi
 
Kama kichwa kinavyosema, nimepanga kuingia kwenye kilimo katika msimu huu hivyo nahitaji mtu mwenye eneo/anayefahamu mtu wa maeneo hayo mwenye ekari nne na kuendelea na anakodisha anicheki PM tuyajenge.
Usikodi mkuu nunua kabisa kwa sasa heka 1 ni laki 1 tu so ukiwa na 1m unapata 2.5 hectare na nyongeza

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Usikodi mkuu nunua kabisa kwa sasa heka 1 ni laki 1 tu so ukiwa na 1m unapata 2.5 hectare na nyongeza

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
heka laki?wapi

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom