Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bado ina hali nzuri kabisa.bei 4mln.simu 0659626782
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina samsung s3 tatizo ni display nipo tanga .. kwa bei ya huku ni 160 .. natafuta mwenye bei ya chini kama yupo
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Naomba msaada kufahamishwa kuhusu masoko ya asali dar na Tanzania nzima My contact Email. nsemkila@gmail.com Phone-0654013178 Au - 0624321365
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nina incubator ya china mayai 96..haiwaki iliwaka mwezi mmoja tu na mwezi mwingine ikazima na mayai yakaharibika ..sasa naitaji mtaalamu fundi wa incubator wa songea ..au yeyote anielekeze...
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Wakuu natumaini mko salama Nahitaji simu tajwa hapo juu Nina 500k Kama unayo tafadhali njoo PM
1 Reactions
1 Replies
593 Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na...
0 Reactions
18 Replies
49K Views
Kwa mahitaji yako ya keys software na unlocking codes za kufungua simu tuwasiliane hapa. Tunauza keys za software zote ambazo ni genuine za operating system, microsoft office package na software...
0 Reactions
4 Replies
962 Views
Iwe Core i3 Au Core i5. RAM Iwe 4gb,Na HDD Isiwe Chini Ya 320Gb. Na Kabetri Kawe Ngangari Pia Sio Chini Ya Masaa Mawili (2Hours). Alienayo Anitumie Private Massage...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni iliyokuwa inatengeneza Boss (Nanasi) wapi kinywaji chetu katika chupa mpya? Sifa za kinywaji hiki: *hakina harufu ya pombe baada ya kunywa (muhimu hasa unapokuwa na mtu asiyetumia pombe)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibu ujipatie Raba original Kwa bei poa Tu Bei sh 25000 Tu Size40-45 Watu Wa dar delivery [emoji403] ipo mpka mlangoni. Mikoani tunatuma pia Whatsaap/Call 0659557947
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nauza gari tajwa hapo.iko ktk kiwango kizuri sana,ni namba A lakini ni nzima sana yenye nguvu na ubora.na haijawahi kukuguswa mahala popote,body,gearbox wala engine yake.njoo PM iwapo wewe ni...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote Ina 4wd AC iko safi Automatic gear Inatumia petrol Power windows Engine CC 2800 Ina km 83,000 Model ya mwaka 1997 Bei ni milioni 7 tu. Angalia picha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wandugu nimepata dharula ya hela kidogo nimeamua kuuza simu yangu tecno w3 ipo kwenye hali nzuri kabisa nipo Dodoma 0652399916
0 Reactions
5 Replies
937 Views
Kiwanja square metres 1516 Kina hati Kipo Kisukuru Bonyokwa Bei ni million 19 mazungumuzo yapo 0718385553
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WASILIANA NASI TUTAKUHUDUMIA POPOTE ULIPO.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BOFYA: Chabo Africa Adventure and Safaris Iringa, Safari tours in Tanzania, Ruaha National Park, Selous, Serengeti, Ngorogoro |
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Projector inatakiwa. Tupia bei
0 Reactions
1 Replies
647 Views
Hi Naomba ushauri nataka kununua water pump ajili ya kilimo . -eneo ni heka 2 -ainagani ni nzuri -spea upatikanaji -utumiaji WA mafuta Majibu yatoke kwa wakulima au walio isha Fanya kilimo cha...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu nauza asali nzuri na fresh kwa afya yako Asali ukichanganya na mdalasini inatibu maumivu ya tumbo Inatibu kila aina ya magonjwa na inakupa afya njema Ninauza sh13,000/= kwa lita moja...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
BIASHARA IMEFUNGWA! LAPTOP IMESHAUZWA! ASANTENI Habari wadau Nauza laptop yenye Maelezo yafuatayo:- 1. Jina: HP 2. Operating system: Window 7 Professional 32-bit(6.1, Build 7600) 3. System...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom