Nikihitaji 20 kwa 20 iliyoungana na hii unayo?Eneo liko M 200 kutoka barabara ya lami, Goba uwanjani, mbele kidogo ya Goba mjini ni tambarare kabisa (hakuna mlima au bonde).
Bei M 15.
Mazungumzo 0715812160 au 0764452424
Ml kumi jeEneo liko M 200 kutoka barabara ya lami, Goba uwanjani, mbele kidogo ya Goba mjini ni tambarare kabisa (hakuna mlima au bonde).
Bei M 15.
Mazungumzo 0715812160 au 0764452424
Hapana mkuu eneo ni zuri sana, tunauzia shida tuu ni zuri haswa, liko flat maji, umeme, makazi ya watu na sisi wenyewe tuko hapo hapo ni mjini kabisa
duuuuh kumbe dar bado viwanja ghali. JUZI NIMENUNUA DODOMA MAENEO YA CHUO CHA MIPANGO KWA MIL5.Eneo liko M 200 kutoka barabara ya lami, Goba uwanjani, mbele kidogo ya Goba mjini ni tambarare kabisa (hakuna mlima au bonde).
Bei M 15.
Mazungumzo 0715812160 au 0764452424
Sio ghali mkuu meter 20 sio haba, nyumba na parking na garden nzuri kabisa na ni mjini huduma zote karibu. We hujui kama dar ndio kila kitu, hata mji ukiamia dom, dar bado ita kuwa on fire tuu labda muhimbili pia ihamie dodoma[emoji3][emoji3]duuuuh kumbe dar bado viwanja ghali. JUZI NIMENUNUA DODOMA MAENEO YA CHUO CHA MIPANGO KWA MIL5.
Bakulutu, nilimaanisha 20 kwa 40Sijakuelewa mkuu hebu nifafanulie kidogo
Hii ni ndogo kwanguHapana mkuu wangu ni 20x20
20m x 20m = 400SqmEneo liko M 200 kutoka barabara ya lami, Goba uwanjani, mbele kidogo ya Goba mjini ni tambarare kabisa (hakuna mlima au bonde).
Bei M 15.
Mazungumzo 0715812160 au 0764452424