bazoka
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 300
- 141
kumbe Benz sio bei mbaya sana eeee
Thamani yake ndio hiyo ila mimi nataka hela ya beer tu mkuuUngeiuza mil. 20 ningeinunua.Ila mil.5 sio size yangu. Ndugu zangu watanitenga kununua vitu kwa bei rahisi hivyo.
•Ahahahah..! Mi ni muhaya bana.
sent by Samson Cyper
Acha wivu kimpeNi la kuandikia historia kwamba ushawah miliki benz ila matumizi yake itakuwa ni garage kulko barabaran
Halidaiwi mkuu si tumeshasamehewa kodi?mileage 185,000,lilingia mwaka 2006,ni ya mwaka 1998,lina shida ya Air mass na slider vimekufa gharama zake ni 550kSijui ni biashara gani ,notaarifa muhimu kama ya mwaka gani,km ngapi imetembea hapa bongo,ilikuja lini,inadaiwa nini,ina shida gani,kwa nini unauza,na mawasiliano ya muuzaji