BENZ FOR SALE FOR 5.5 MILL

BENZ FOR SALE FOR 5.5 MILL

bazoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
300
Reaction score
141
Mercedes Benz
7952489f9343ce9d6c0716bfd4a04400.jpg
1170c73f9362a69d63ce697b2aecee4a.jpg
3b438ac1933100f5020c909c07d25a6b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumb hiyo nayo benzi na jina haliendan na chombo chrnyewe
 
Ungeiuza mil. 20 ningeinunua.Ila mil.5 sio size yangu. Ndugu zangu watanitenga kununua vitu kwa bei rahisi hivyo.

•Ahahahah..! Mi ni muhaya bana.

sent by Samson Cyper
 
Ni la kuandikia historia kwamba ushawah miliki benz ila matumizi yake itakuwa ni garage kulko barabaran
 
Sijui ni biashara gani ,notaarifa muhimu kama ya mwaka gani,km ngapi imetembea hapa bongo,ilikuja lini,inadaiwa nini,ina shida gani,kwa nini unauza,na mawasiliano ya muuzaji
 
Sijui ni biashara gani ,notaarifa muhimu kama ya mwaka gani,km ngapi imetembea hapa bongo,ilikuja lini,inadaiwa nini,ina shida gani,kwa nini unauza,na mawasiliano ya muuzaji
Halidaiwi mkuu si tumeshasamehewa kodi?mileage 185,000,lilingia mwaka 2006,ni ya mwaka 1998,lina shida ya Air mass na slider vimekufa gharama zake ni 550k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom