Ratiba za usafiri mabasi yaendayo mikoani

Ratiba za usafiri mabasi yaendayo mikoani

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,719
Reaction score
14,847
kutokana ongezeko la matumizi ya internet leo ni rahisi sana kupata ratiba ya mambo mbali mbali kwenye mitandao hivyo nimekuletea ratiba za usafiri wa mabasi ambayo ni NDENJELA JET,
happy.png

HAPPY NATIONAL
NA
saibaba.png

SAIBABA EXPRESS

sio nia yangu kuwatangazia biashara hawa watu ila ni kutaka kuwarahisishia wasafiri ili ukifika pale uende kwenye offisi sahihi maana nachukizwa sana na wale jamaa pale ubungo ambao eti wao huwa wapokeaji wa wageni ukifika wanaanza kukuuliza unapoenda utazani mtu ujui kusoma. VILE VILE KAMA KUNA BASI LENYE HUDUMA NZURI UNAWEZA UKALITAJA BAADA YA MUDA NITALETA RATIBA YA HILO BASI
Ubungo.jpg

Nimejitahidi kuchora majedwali humu nimeshindwa ila ukitaka kupata ratiba ya bus kati ya hayo niliyo andika hapo juu unaweza kulibonyeza hilo jina litakupeleka moja kwa moja kwenye jedwali lenye hiyo ratiba.

Kuna ugumu mkubwa sana niliupata kipindi naanda huo mfumo ambao kwa kiasi fulani nimeshindwa kuendelea kwani baadhi ya matajiri wa mabasi niliokuwa nawafata walinichukulia mimi kama taperi. hivyo nitajitahidi kuendelea kutafuta mabasi yenye matajiri waelewa kisha nitawaletea ratiba zao ili kurahisisha upatikanaji wa usafiri.
 
tuwekee ni daraja la ngapi hayo mabasi na bei zao halali ni sh ngapi nauli
asante dada....ukiingia hapo utakutana na namba za simu za wamiliki wa hayo mabasi utafanya mawasiriano nao kisha wanaweza kukusaidia.
 
Asante mkuu .... sema fanya marekebisho ya maandishi kule kwenye muda

Ungewawekea na muda wa Kukaa barabarani e.g. dar-mbeya siku mbili [emoji23] [emoji23]
 
na ziongeze mkuu wazo zuri
asante mkuu nitaongeza ila napata upinzani mkubwa sana maana baadhi ya matajiri ukiwafuata wakupe ratiba zao za usafiri wanadhani kuna mipango ya kitaperi kumbe ni mambo tu ya kujitolea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom