Habari zenu waungwana
Ninauza kiwanja changu kilichoko nje kidogo ya jiji la Tanga ukivuka tu mizani ya pongwe kijiji kinachofuatia kinaitwa KILAPULA, kina ukubwa wa 40/50 yaani upana 40. No...
Hello, jamani visheti vya Nazi hivyo
Kikopo 1000
(Delivery kuanzia vikopo 5 na unanichangia nusu ya nauli)
Jumla 800 kuanzia PC 30
Location Ubungo
Call 0714547830
invest what you are...
Pata genuine software ya Microsoft office 2016 kwa bei sawa na bure.
Pia pata installation ya genuine Microsoft windows 10, 7 ama 8 kwa bei sawa na bure.
Utapata software hizo kwa bei rahisi na...
Habari wana JF!
Kama heading inavyojielezea, leo nawaletea novels kuanzia bibliography za watu mbali mbali,drama mpaka fiction! Zinapatikana kwa muundo wa PDF na EPUB!! kwa wale ambao hawana EPUB...
Habari zenu wana JF
Nauza viti vilivyotumika. vimetumika miez 3. Ni vizuri kwa kukodisha kwenye shughuli kama harusi, mikutano, semina, misiba, nk. Vipo viti 200. Vinapatikana Iringa mjini. Bei...
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8...
Habari zenu,
Naomba kuuliza eti simu ya Android aina ya wiko jelly ni shiling ngapi bei yake kwa anaejua anisaidie.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pendeza kwa kuvaa viatu vikali vya mtumba kwa bei nafuu, jiunge kwenye group letu kupitia link hii hapo chini uweze kupata picha za kazi pindi tunapozipata
viatu
ABOUT: inacheza CD aina zote haichagui, mic, flash, bluetooth unacheza mziki kwa simu ukiwa umelala kwenye kochi, mdundo mzito mno. Cable zote zipo na mashine ni mpya unakabidhiwa ndani ya box lake
Habari wanajamii,
Nilikuwa na wazo la kutengeneza mikoba ya ngozi orignal.
Naomba msaada kujua upatikanaji wa ngozi, nipo Dar es Salaam.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Wana Jamii forum wenzangu,
Ninaandaa na kusambaza kuku wa kisasa kwa order majumbani, yaani ninachinja mwenyewe, ninamnyonyoa na kumsafisha vizuri, pia nina mkatakata na kumpack kuku...
Wakuu tuna mahitaji ya materials za kuchanganyia chakula cha mifugo kwa bei ya Jumla.
Tuko Dar es salaam.
1. Mashudu ya Alizeti 5 Tons
2. Dagaa 3 Tons
3. Pumba Gunia kuanzia 20
4. Chokaa 1000...
Habari Wana JamiiForums wenzangu, natumaini Mu-wazima,
Ninaandaa na kusambaza kuku wa kisasa kwa order majumbani, na kwingineko, yaani ninachinja mwenyewe, ninamnyonyoa na kumsafisha vizuri, pia...
Habarini ndugu zangu!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji supplier wa prawns mwenye uzoefu mzuri na ambaye yuko tayari kufanya biashara katika mazingira ya uaminifu naomba...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari 20. Lina mazao Ekari nne nanasi na passion. Eneo lingine huwa nalima muhogo. Muhogo unastawi sana. Shamba lipo BUNGU, KIBITI, pwani. Kuna banda la...