Material za Chakula cha kuku

Material za Chakula cha kuku

Barraza

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2011
Posts
481
Reaction score
270
Wakuu tuna mahitaji ya materials za kuchanganyia chakula cha mifugo kwa bei ya Jumla.

Tuko Dar es salaam.

1. Mashudu ya Alizeti 5 Tons
2. Dagaa 3 Tons
3. Pumba Gunia kuanzia 20
4. Chokaa 1000 Kg
5. Mifupa 1000 Kg
6. Damu kavu 1000 Kg

Tunahitaji hata zaidi ya kiwango tajwa hapo juu..

Njoo inbox na ofa yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko Dar es salaam.

1. Mashudu ya Alizeti 5 Tons
2. Dagaa 3 Tons
3. Pumba Gunia kuanzia 20
4. Chokaa 1000 Kg
5. Mifupa 1000 Kg
6. Damu kavu 1000 Kg

Njoo inbox na ofa yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom