Nauza Ailihen na Biensound headphones

Nauza Ailihen na Biensound headphones

TMAN8

Senior Member
Joined
May 25, 2012
Posts
165
Reaction score
41
Ziko vizuri sana, zimeshiba sound kukufanya uweze kusikia sauti zote zilizopo ndani ya muziki, kuanzia low ends - mid - high ends kwa utulivu kabisa. Pia zina sehemu ya kupokelea simu, na katika ubebaji zinakunjika kirahisi.
 
Ziko vizuri sana, zimeshiba sound kukufanya uweze kusikia sauti zote zilizopo ndani ya muziki, kuanzia low ends - mid - high ends kwa utulivu kabisa. Pia zina sehemu ya kupokelea simu, na katika ubebaji zinakunjika kirahisi. bei yake ni Tsh 50,000/=

5ce35d866766aef372c9cbd8e66ae056.jpg


639d14c84db2b22d5b5da6f5af23b90f.jpg


182425f847d6a3ee4cac83f8b91169f6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Boss ivi huo waya ulio pembeni ndo charger yake au inakuaje hapo
Unapatikana wapi
 
Boss ivi huo waya ulio pembeni ndo charger yake au inakuaje hapo
Unapatikana wapi
Huo waya si charger, hizi hazina mfumo wa kuchaji, unaconnect tu na kifaa chako kinachotumia headphone na kujisikilizia yako na pia zina sehemu ya kupokelea simu, ukihitaji nicheck 0744717206

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom