Kikaango cha vitumbua kinauzwaje?

Kikaango cha vitumbua kinauzwaje?

Gods very own

Senior Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
124
Reaction score
66
nkienda insta naona 55,000 tshs...
nlivyopita kkoo kuna mtu akanambia 18,000 ila hakunionesha (sikuiona)

kwa anaejua bei yake inarange vipi,nsije pigwa

PhotoGrid_1504776655075.jpg
 
Tumia pesa ikuzoee!toa ela yoyote kwani si unakiitaji!
 
tayari kuna tofauti ile kule ni ya insta nadhani hata product zake zitakuwa kiinsta insta na hiyo ya kariqkoo product zake zitakuwa sawa na hizi hizi tunazo tumia huku za akina mama halima kwahiyo chagua kuishi kiinsta au vingine
 
mara nyingi bei za insta huwa si halali, wengi insta ni madalali na sio wenye mali hvyo wanaongeza bei ili nao wapate . mimi nadhani ukienda kariakoo utapata bei halali.
 
inategemea na design, ubora na brand pia
Viko vya kawaida na umeme pia
 
Nami nitanunua aisee unakuwa unajipikia vitumbua nyumbani tu vya vitafunio
 
non stick ndo bei huwa kubwa around 40000 cha ef kumi hivi vya kawaida
 
Vitumbua sijui niliwekewa nini! Sijawahi kukinaiwa navyo. Hongera sana mgunduzi wa kitafunwa hiki
 
Back
Top Bottom