Natafuta mfanyakazi wa Saloon.

Natafuta mfanyakazi wa Saloon.

TrueLove

Senior Member
Joined
Jan 12, 2012
Posts
124
Reaction score
38
Habarini za kuamka wana JF, mm nimefungua saloon ya kike Nyamongo Tarime, ninatafuta mfanyakazi ambae naweza kufanya nae kazi kwa uaminifu, ntamwachia Saloon ataiendesha mm ninajishughulisha na kazi nyingine, mwenye kuhitaji au kama umesikia mtu anatafuta kazi za Saloon tafadhali nisaidie.
 
Habarini za kuamka wana JF, mm nimefungua saloon ya kike Nyamongo Tarime, ninatafuta mfanyakazi ambae naweza kufanya nae kazi kwa uaminifu, ntamwachia Saloon ataiendesha mm ninajishughulisha na kazi nyingine, mwenye kuhitaji au kama umesikia mtu anatafuta kazi za Saloon tafadhali nisaidie.

mh hizo kazi mimi naziweza bt huo mkoa mbali sana halafu sina uhakika wa mzunguko wa hela wa sehemu husika na aina ya wateja. Ebu mwaga maelezo ya kutosha tujue tunafanyaje.
 
Ni sehem ambayo kuna wafanyakazi wengi hasa wa mgodi, mzunguko wa pesa upo ni ushapu tu wa wafanyakazi wa Saloon, kama unaweza ni sehem nzuri usiangalie umbali, unaweza fanya kazi kwa malengo hata one year then unaangalia kama panakufaa au vipi.
 
Habarini za kuamka wana JF, mm nimefungua saloon ya kike Nyamongo Tarime, ninatafuta mfanyakazi ambae naweza kufanya nae kazi kwa uaminifu, ntamwachia Saloon ataiendesha mm ninajishughulisha na kazi nyingine, mwenye kuhitaji au kama umesikia mtu anatafuta kazi za Saloon tafadhali nisaidie.

Watakuja tu dada yangu kuwa na subira,
Kutoka hapa nyamongooooooooo, tarime ni joji maratoooooooooo wa ITVvvvvvvvvvvvvvvvvv!
 
Back
Top Bottom