Nahitaji cherehani (sewing machine)

Nahitaji cherehani (sewing machine)

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,569
Reaction score
16,355
Habari,
Wakuu kama heading inavyoeleza nahitaji cherehani hizi za kawaida (singer au butterfly). Kama kuna muuzaji tafadhari naomba uje PM. Napatikana dsm.

NB: Najua nikienda k/koo nitapata but nimeamua hii biashara niifanaye na fellow GT.
 
Hauko serious mkuu.
Kama unavyoojua vyerehani wanauza wahindi tena wale wazee kabisa. Sasa sijui kama nao ni magreat Thinkers humu JF
 
Habari,
Wakuu kama heading inavyoeleza nahitaji cherehani hizi za kawaida (singer au butterfly). Kama kuna muuzaji tafadhari naomba uje PM. Napatikana dsm.

NB: Najua nikienda k/koo nitapata but nimeamua hii biashara niifanaye na fellow GT.
Niwie radhi mkuu nami nitumie uwanja wako, nahitaji Singer za kizamani
 
Habari,
Wakuu kama heading inavyoeleza nahitaji cherehani hizi za kawaida (singer au butterfly). Kama kuna muuzaji tafadhari naomba uje PM. Napatikana dsm.

NB: Najua nikienda k/koo nitapata but nimeamua hii biashara niifanaye na fellow GT.
Mimi ninayo deson. Niliinunua miezi 3 imepita kwa ajili ya mdogo wangu.Ameghairi kuendelea na sewing so imebidi niiuze. Being 200000 negotiable.
.
IMG_20170925_210145.jpg
 
Ukipata nne andaa na nyaraka husika maana hicho ni kiwanda🙄
 
Mwenye Singer Old model pls, for heavy duty
 
Ukipata Vinne naomba uniite nije kuwa Meneja Muajiri kwenye hicho Kiwanda chako.
 
Mwenye singer model 188ki ajitokeze tuongee biashara
 
Nashukuru saana Elizabeth, ila nina wasiwasi kama cherehani hiyo inaweza kushona vitu vigumu kama ngozi, hema n.k, nilihitaji zaidi zile Singer model za zamani, hazina shingo nyembamba kama za butterfly
 
Back
Top Bottom