"Tunakuletea POPOTE ulipo"
"ukiwa MOROGORO/TANGA/DAR ES SALAAM"
....nini maana ya POPOTE?? Au kama popote kwenye mikoa Tajwa, vp nikiwa Singida, Tabora, Iringa...nk?
Ivi hawa Lugano Company wanajielewa kwel? ...na ww ukabeba dude kama lilivo ukaja kubandika hapa
"Tunakuletea POPOTE ulipo"
"ukiwa MOROGORO/TANGA/DAR ES SALAAM"
....nini maana ya POPOTE?? Au kama popote kwenye mikoa Tajwa, vp nikiwa Singida, Tabora, Iringa...nk?
Ivi hawa Lugano Company wanajielewa kwel? ...na ww ukabeba dude kama lilivo ukaja kubandika hapa