Wapi nitapata asali mbichi?

Wapi nitapata asali mbichi?

honorto

Senior Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
188
Reaction score
102
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
 
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
Ungekuwa dar,ningekupatia lita moja bure kabisa
 
Back
Top Bottom