Ungekuwa dar,ningekupatia lita moja bure kabisaHabari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
Sawa kwa mahitaji ya asali wa nyuki wakubwa na wadogo ambayo ndo inafaida nyingi zaidAsante nitakutafuta
Ninayo tuwasiliane 0654553163Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.