Ninauza nissan xtrail ikiwa kwenye hali nzuri sana na sifa zifuatazo
-mileage 145,000
-automatic
-4wd
-haidaiwi chochote
-Full ac
Angalia picha ukipenda njoo 0685369349 tuzungumze
KiSOI HOUSE OF PIPES[emoji344]
[emoji818]koki za maji na mixer zake bila kusahau gate valvue
[emoji818]fitting za bomba za chuma na IPS(INCHI ZOTE ZNAPATIKANA)
[emoji818]Vyoo vya kukaa na...
Mageti bei sawa na Bure toka hapa *AUTOGURU WORKSHOP*
Wahi punguzo la bei kabla halijaisha
Bei ni pamoja na kukufungia kwako tunakukabidhi geti likiwa linatembea
Upana 8ft bei ni 1.3m
Upana...
Mageti bei sawa na Bure toka hapa *AUTOGURU WORKSHOP*
Wahi punguzo la bei kabla halijaisha
Bei ni pamoja na kukufungia kwako tunakukabidhi geti likiwa linatembea
Upana 8ft bei ni 1.3m
Upana...
Nauza DVR mpya ikiwezekana zote kwa pamoja bei poa kwa zote.
Zipo pcs 5 za 16 channels na zipo pcs 2 za 8 channels.
Zote brand new.
Hizo DVRs zinakuja na adaptor yake na mouse na user manual na...
Tangazo...
Fursa kwa vijana waliopata pass chache za kidato cha nne yaani kuanzia D moja na kuendelea . kuna Program imeandaliwa kwa miaka miwili inayoitwa Business Operation Assistant...
Nauza Kiwanja tegeta boko(dawasco) kabla ya basihaya ,ukubwa 400sqm ,kimepimwa na hati miliki,bei million 28 tu, .karibu ufurahie upepo wa bahari ni mita chache kutoka baharin
Sent using Jamii...
Tunauza soksi Mpya na viatu vya kiume vya mtumba.
Soksi/ pair 6,000/=, Ila ukinunua kuanzia pair 5 tunakuuzia soksi/pair Shilingi 5,000/=. Soksi Designs 4 zimebakia kama zinavyoonekana kwenye...
Wakuu habari
Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi...
Meza na kiti kwaajili ya matumizi ya mbalimbali kama ofisini, mobile money office, shuleni, nyumbani kusomea,na matumizi mengine..! viko katika hali nzuri kama unavyoviona, Bei 50k au elfu...
hawa ni samaki wa kufuga kama mapambo wanazaa na wapo wengine wanataga
aina na bei zake
1.gold shubkin
10000 kwa pea yaani mke na mume
2 gold salasa
elfu10000 kwa pea yaani mke...
Wakuu nauza shamba langu liko Bomang'ombe Kilimanjaro ni mwendo wa dakika 10-15 toka boma mjini ni mita 600 toka Barbara kuu ya lami inayoenda Moshi karibu na sheli ya mtoni darajani kama...
Wakuu.....
Nahitaji betri ya laptop yangu ambayo ni Ni HP elite book 6930p
Kwa yeyote anayeuza binafsi au dukani aniambie alipo nimfuate na aweke bei pia...
Shukran
Habari zenu ndugu zangu.
Nahitaji ufafanuzi kuhusu Soko la mayai ya kienyeji na maelezo sahihi juu ya mkoa/mahali yapopatikana kwa wingi.
Naomba kuwasilisha