Mayai ya kuku wa kienyeji

Mayai ya kuku wa kienyeji

suma Nongwa

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
97
Reaction score
47
Habari zenu ndugu zangu.
Nahitaji ufafanuzi kuhusu Soko la mayai ya kienyeji na maelezo sahihi juu ya mkoa/mahali yapopatikana kwa wingi.
Naomba kuwasilisha
 
kama unasoko la kutosha niko Iringa we toa order utakua unahitaji kiasi gani kwa wiki au siku... tuanze ufugaji chap..! nakua nakusanya unayohitaji nakutumia tu... pure kienyeji bei 400.
 
kama unasoko la kutosha niko Iringa we toa order utakua unahitaji kiasi gani kwa wiki au siku... tuanze ufugaji chap..! nakua nakusanya unayohitaji nakutumia tu... pure kienyeji bei 400.
Asante brother naomba nichek kwa whatsapp namba 0716 173390
 
Back
Top Bottom