Shamba Heka 1.5 Boma Kilimanjaro bei chee

Shamba Heka 1.5 Boma Kilimanjaro bei chee

Kiny

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
289
Reaction score
57
Wakuu nauza shamba langu liko Bomang'ombe Kilimanjaro ni mwendo wa dakika 10-15 toka boma mjini ni mita 600 toka Barbara kuu ya lami inayoenda Moshi karibu na sheli ya mtoni darajani kama unatokea Boma stend.
Shamba ni heka 1.5 Linafaa kwa mazao ya aina zote kwa pembeni mita kama 50 kuna kisima cha maji ya kudumu mwaka mzima kwani kimeunganishwa na chemi chemi.

Nina shida ya kimasomo ambapo nimejaribu mbinu zote nimeshindwa hivyo kwa hiari yangu nauza shamba hill kwa bei ya milioni 6.
Nina hati ya kijiji
Namba yangu ya simu: 0767890256
 

Attachments

  • IMG_20170817_112604.jpg
    IMG_20170817_112604.jpg
    443.8 KB · Views: 71
  • IMG_20170817_112555.jpg
    IMG_20170817_112555.jpg
    479.1 KB · Views: 64
  • IMG_20170817_112549.jpg
    IMG_20170817_112549.jpg
    461 KB · Views: 64
  • IMG_20170817_112550.jpg
    IMG_20170817_112550.jpg
    468.9 KB · Views: 63
  • IMG_20170817_112009.jpg
    IMG_20170817_112009.jpg
    221.8 KB · Views: 81
Wachaga hawauzi kihamba!
Mkuu wangu mim sio mchaga nilikuja kufanya kazi KCMC na kwa bahati nimepata jambo ambalo litanisaidia badae gharama ni kubwa ndiyo maana nimeamua niuze
 
Mkuu wangu mim sio mchaga nilikuja kufanya kazi KCMC na kwa bahati nimepata jambo ambalo litanisaidia badae gharama ni kubwa ndiyo maana nimeamua niuze
Hicho kisima ni mali ya shamba/chako au ni kisima tu cha jirani??
 
Hicho kisima ni mali ya shamba/chako au ni kisima tu cha jirani??
Mkuu hiki kisima kilijengwa tangu henzi za wazee wetu kabla mji wa boma haujapata maji ya bomba , baada ya kupata maji ya bomba kile kisima kilibaki kama Mali ya mtaa kwa hiyo kinatumika kunyweshea mashamba ya karibu au watu wenye maitaji Kama ya mifugo baada ya mavuno
 
Nalitaka lakini utapeli wa ardhi ni mkubwa sana. Nitajridhishaje kwamba na mali ya kweli . Maana nimeona mtu anunua shamba leo na mwingine anakuja anasema ni mali yake.
 
We njoo ntakupeleka kwa serikali ya kijiji na uongozi na vidhibitisho vyote ukiona havieleweki liache tu rafiki
Mbn kama mitaa ya kwasadala hapo au macho yangu tu mkuu maana kutokea boma kama unaenda moshi sioni shamba mitaa ya njiani
 
Kuna watu wanauliza pesa ya udali..... Nipende kujibu hapa kwa pamoja kwamba hili ni shamba langu mwenyewe na ninauza mwenyewe siyo dalali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom