Nauza meza za kusomea

Nauza meza za kusomea

syndicate

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2016
Posts
258
Reaction score
478
b4c2a0c86c3a2a17638d0f9ea61b93ff.jpg

cc1533230e18ea0a9c81ac82508c4ecd.jpg

4441b578d604d9257b296d18b2c5b638.jpg

Meza na kiti kwaajili ya matumizi ya mbalimbali kama ofisini, mobile money office, shuleni, nyumbani kusomea,na matumizi mengine..! viko katika hali nzuri kama unavyoviona, Bei 50k au elfu hamsini(50,000/=) tu kwa pamoja kiti na meza, USD 25 $ only, mbao nzuri ya mpodo! Bidhaa hii iko Ubungo external Dar es salaam! karibuni sana ,epuka matapeli na madalali njoo ukutane na mmiliki wa bidhaa moja kwa moja!!
Mawasiliano! kwa tigo piga +255 679 697 269 airtel +255 785 364 943!!
 
Kama utafika mwezi 11 hujaiuza tutawasaliana. ....
 
Sijui mpaka muwe mnaelezwa mara ngapi kuhusu kuweka matangazi bila picha
 
Back
Top Bottom