Andre02150
JF-Expert Member
- Feb 2, 2010
- 332
- 129
Wadau,
Nahitaji apartment ya kupanga Manispaa ya Morogoro, yenye vyumba viwili hadi vitatu vya kulala. Muhimu chumba walau kimoja kiwe self contained. Tafadhali ni-pm ukiambatanisha picha na maelezo machache ya msingi kuhusu apartment yako.
Ahsante
Nahitaji apartment ya kupanga Manispaa ya Morogoro, yenye vyumba viwili hadi vitatu vya kulala. Muhimu chumba walau kimoja kiwe self contained. Tafadhali ni-pm ukiambatanisha picha na maelezo machache ya msingi kuhusu apartment yako.
Ahsante