Pajero GDI Turbo kwa bei ya kutupa

Pajero GDI Turbo kwa bei ya kutupa

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu habari za majukumu.
Kijana wenu mwaka huu ni wangu kwa kupitia mitihani ya dunia. Nimepata tena tatizo lingine, kimfaacho mtu chake. Nimeamua kushusha bei ya gari langu ili nitatue tatizo la sasa. Naiuza hii gari kwa 6.9m tu.
-ina turbo
-Namba D
-100,000km
-1830cc
-full AC
-mziki system nzuri
-sports rim
-nice and comfortable springs
-viti vizuri na kava bado Mpya
-haijaguswa engine
-haijarudiwa Rangi

Mwenye kuhitaji kuiona na kuitest, simu namba 0716411720
img-20171001-wa0010-jpg.602341



img-20170926-wa0030-jpg.602342


img-20170921-wa0011-jpg.602346


img-20170921-wa0017-jpg.602343
 
Wabongo wanapenda sana Mtu apate tatizo ili wapate kitonga kumlalia.
Wanao comment hapa 4mil ukute ndio walewale walio comment 6mil pale alipoanzia 8mil,
Hata angeanza 4mil ambayo hapa wanasema wanayo bado wangesema wana 2mil,
Pole kaka, utauza tu lakini
 
IPO 5 m ndugu ukiwa poa njoo pm
 
4.6 mil ukikubali tuonane inbox taratibu nyingine zifuate
 
Imetulia mkuu Bado mpya kbs kwangu mm tu hata ya bicycle shughul Ngoja waje wenyew
 
Ina 4 wheel naongeza 4,500,000 ila document ziwepo na tunamaliza kwa mujibu wa sheria za Nchi yetu.
 
hzo gari ni janga sana, Mara kadhaa humu watu wanashauri kuhusu hizo pajero GDI na kusema hazifai, na hii inathibitika pale unapotaka kuliuza.
Hebu ona gari namba DBC ulianza mil.8 Leo unaliuza kwa 6.9 na bado wateja hakuna.
Mkiambiwa gari Fulani hazifai muwe mnaelewa na sio kuwasikiliza wale wanaosema Mara oooh mi ninalo miaka mitano haijawah kunisumbua,Mara mm nshaenda nayo sana dar-mwanza
 
Gari imetulia sana mkuu tatizo wateja ndio wanakuangusha na offer zao.
 
[QUOTHaina untrywide, post: 23869394, member: 276847"]hzo gari ni janga sana, Mara kadhaa humu watu wanashauri kuhusu hizo pajero GDI na kusema hazifai, na hii inathibitika pale unapotaka kuliuza.
Hebu ona gari namba DBC ulianza mil.8 Leo unaliuza kwa 6.9 na bado wateja hakuna.
Mkiambiwa gari Fulani hazifai muwe mnaelewa na sio kuwasikiliza wale wanaosema Mara oooh mi ninalo miaka mitano haijawah kunisumbua,Mara mm nshaenda nayo sana dar-mwanza[/QUOTE]
Gari haina tatizo. Nauza Kwa matatizo
 
Wabongo wanapenda sana Mtu apate tatizo ili wapate kitonga kumlalia.
Wanao comment hapa 4mil ukute ndio walewale walio comment 6mil pale alipoanzia 8mil,
Hata angeanza 4mil ambayo hapa wanasema wanayo bado wangesema wana 2mil,
Pole kaka, utauza tu lakini
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom