Nyumba ya kupangisha

Nyumba ya kupangisha

21 JuLy

Senior Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
131
Reaction score
265
Habari wakuu,

I just need your help, nilikua natafuta nyumba ya kupanga.

Location: Kuanzia kimara kona hadi korogwe upande wa kulia ukiwa unatokea posta.

Budget: TSh 200,000 to 250,000

Specification:
a/. Vyumba viwili(kimoja master), Sebule na Jiko.
b/. Luku ya kujitegemea
C/. Maji yawepo ndani
d/. Fanced house

Time: mahitaji yake ni november hadi december sio mbaya. Pia kodi nitalipa kuanzia 6months.

Contact: 0620109994

Asanteni sana.
 
Wadau.....yeyote mwenye informations, nakaribisha
 
Umeshawapa hadi bajeti lakini jiandae kuambiwa ongeza ongeza walau ifike 300k
 
Back
Top Bottom