Kama vipi nicheki niilipie leo!Habari wakuu, Friji kubwa na nzuri na bado mpya inauzwa. Upande mmoja fridge mwingine freezer pia INA water dispenser. mwenyewe anahama nchi ndio sababu ya kuuza.
1.2m
IPO tabata kinyerezi
0712623938
![]()
Akishindwa nishtue tuzungumze biasharaKuna MTU atailipia kesho akizingua ntairudisha sokoni
Mkuu, nikinunua utanipa na hiyo soda?