Inauzwa simu na kitanda kwa bei poa

Inauzwa simu na kitanda kwa bei poa

kasali

Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
60
Reaction score
13
Nauza simu aina ya sumsung galaxy j5 kwa 250000 na kitanda mbao orijinal 5*6 kwa 270000
20171028_141134.jpg
20171028_141105.jpg
IMG_20171028_141440.jpg
IMG_20171028_141348.jpg
 
5*6 kitanda cha kisasa cha chuma Keko unaondoka nacho kwa laki tatu tu, 5*6 cha mbao Mbagara kipya unaondoka nacho kwa laki mbili kwa mbao ngumu na mbao laini mpaka laki na nusu.
Bei hiyo ya kitanda ni ya kitanda kisichowahi kutumika kabisa.
Biashara njema
 
MIE nipo nimenunua cha chuma kwa 150k badaye tena nikanunua kwa 180 cha pili ni cha 5 kwa 6
 
5*6 kitanda cha kisasa cha chuma Keko unaondoka nacho kwa laki tatu tu, 5*6 cha mbao Mbagara kipya unaondoka nacho kwa laki mbili kwa mbao ngumu na mbao laini mpaka laki na nusu.
Bei hiyo ya kitanda ni ya kitanda kisichowahi kutumika kabisa.
Biashara njema
Sasa si ununue mbagala uje uuze humu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom