Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa uhitaji wa kuagiza Gari yako ....tutumie SBT Tz , kampuni mama ikiwa SBT Japan.... Ambako Gari zote zinapatikana kwa bei nzuri, nasisi SBT Tz tutafanya process zote hadi wewe kuipata Gari...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau.. Nina project naifanya ambayo ina uhitaji wa mikeka ya kukalia watu 200.. Sina uzoefu nayo sana kujua inauzwa sehemu gani na bei yake ikoje kwa kila mmoja.. Nitashukuru sana...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuna kampuni moja inatoa huduma ya utumaji wa SMS za jumla. Kwa mfano sms zinazotumwa na benki tofauti kutoa taarifa kuhusu huduma zao hua zinatumwa na makampuni haya. Kampuni hizi zinauwezo wa...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
kwa atakae hitaji shamba kwa kilimo cha masika nakodisha,shamba lipo morogoro limetumika upande wa mtoni na upande mwingine linamiti ya kusafisha!! 0744990530
0 Reactions
5 Replies
828 Views
Ninauza laptop yenye sifa zifuatazo. 1. Model : HP probook 6360b 2. RAM : 4 GB 3. Harddisk : 500GB 4. Screen : 14 inches 5. OS : Windows 7 pro (Activated) 6. Processor : Core i5, 64bit, 2.5 GHz...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadao naomba kujua jee soko la pink sapphire limekaaje? Kuna sehemu inatoka jem ya pink sapphire.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Liko kwenye hali nzuri sana Ina document yake pia Bei majaa 5mln Iko dar es salaam Kwa mawasiliano piga simu 0715591141(serious buyer only) OvA
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Habari zenu wanajamvi wa MMU, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo. Simu haina tatizo kabisa. Imetumika kwa miezi mitano. charge yake ipo original. Bei ni Tsh 250,000/= Pungufu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Napenda kuwasilisha kwenu wadau mifumo aina mbili ambayo ipo sokoni hivi sasa 1. School managements system 2. Hospital, pharmacy cashier system. TUANZE NA SCHOOL INFORMATION SYSTEM...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
@nafuuelectronics_supplier Inasaga na kuchuja kabisa(yenyewe) inatumia umeme pia ina uwezo wa kutotumia umeme 230,000/= #0717-062242 #0757-562378 delivery in dar na mikoani tunatuma pia tupo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunatengeneza logos, kudesign packages za bidhaa mbali mbali, calenders, mabango, banners n.k kwa ajili ya biashara na events Wasiliana nasi kwa namba 0620775877 Hizi ni baadhi ya kazi zetu
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, Napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu kuna lamination machine, binding machine na vifaa vinginevyo vingi. Kwa mwenye interest...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu? Nahitaji nyumba ya kununua, Tanga mjini au maeneo ya jirani. Sifa za nyumba. Iwe eneo salama, kusiwe na mafuriko Umeme na maji yawepo Nyumba iwe na angalau vyumba vitatu vya...
1 Reactions
0 Replies
637 Views
JF kwa maendeleo. Jamaa leo nimekuja na kichwa hicho cha habari. jamani ambae anaweza kunipa taarifa kuliko na soko la asali nitamshukuru. akiainisha bei japo kwa lita 1 itakua poa sana. Mikoa ya...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Umewahi kuagiza au kutaka kuagiza bidhaa kutoka mitandaoni kama Amazon, Ebay au Aliexpress lakini muuzaji (seller) hasafirishi kuja Tanzania? Suluhisho ni sasa, Tuna nunua na kusafirisha mizigo...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari wanaJF Kuna mzee ana shamba anahitaji mtu wa kushirikiana nae kulima (Mtu huyo ataweka mtaji), mzee atatoa shamba. Shamba hilo lina kisima in case mvua ikikosekana. Shamba liko Bagamoyo...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninauza betry ya Detector model Gpx 4800, 5000 . BETRY NI MPYA NILIAGIZA AUSTRALIA BAHATI MBAYA DETECTOR YENYEWE IMEIBIWA KABLA SIJAPOKEA BETRI, HIVYO IMEFIKA SINA MATUMIZI NAYO BEI YAKE NI TSHS...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Mikopa tunapatikana mwanza
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…