Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 14,000
Habari zenu?
Nahitaji nyumba ya kununua, Tanga mjini au maeneo ya jirani.
Sifa za nyumba.
Iwe eneo salama, kusiwe na mafuriko
Umeme na maji yawepo
Nyumba iwe na angalau vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko, dinning nk
Iwe haina mgogoro wowote na isiwe na alama X.
Mwenye nyumba yenye sifa hizo njoo PM.
Nahitaji nyumba ya kununua, Tanga mjini au maeneo ya jirani.
Sifa za nyumba.
Iwe eneo salama, kusiwe na mafuriko
Umeme na maji yawepo
Nyumba iwe na angalau vyumba vitatu vya kulala, sebule, jiko, dinning nk
Iwe haina mgogoro wowote na isiwe na alama X.
Mwenye nyumba yenye sifa hizo njoo PM.