Nauza Laptop

Complex

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
4,113
4,741
Ninauza laptop yenye sifa zifuatazo.

1. Model : HP probook 6360b
2. RAM : 4 GB
3. Harddisk : 500GB
4. Screen : 14 inches
5. OS : Windows 7 pro (Activated)
6. Processor : Core i5, 64bit, 2.5 GHz
7. Graphics card : NVIDIA
8. Condition : kama inavyoonekana.
Kwa juu kulikuwa na sticker imeanza kubanduka, kama ukiweza kuibandua yote itakuwa na muonekano mzuri. Tofauti na hilo ipo vizuri na inafanya kazi vyema kabisa.
9. Battery : inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi kwa matumizi ya kawaida.


Bei : TSh 360,000 ( Maongezi yapo )

Mawasiliano : waweza nitumia PM ama ukapiga namba 0620175280.

Hiyo namba ni ya kupiga simu za kawaida na message za kawaida. Haipo whatsapp. Unaweza piga ama kutuma sms muda wowote ule.

Sababu ya kuiuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, hivyo hii sina nayo matumizi kwa sasa.

Picha zinafuata chini.

IMG_0204.jpg


IMG_0205.jpg


IMG_0206.jpg


IMG_0207.jpg


IMG_0209.jpg


Karibuni nyotee.
 
Ninauza laptop yenye sifa zifuatazo.

1. Model : HP probook 6360b
2. RAM : 4 GB
3. Harddisk : 500GB
4. Screen : 14 inches
5. OS : Windows 7 pro (Activated)
6. Processor : Core i5, 64bit, 2.5 GHz
7. Graphics card : NVIDIA
8. Condition : kama inavyoonekana.
Kwa juu kulikuwa na sticker imeanza kubanduka, kama ukiweza kuibandua yote itakuwa na muonekano mzuri. Tofauti na hilo ipo vizuri na inafanya kazi vyema kabisa.
9. Battery : inakaa na chaji kwa masaa matatu na zaidi kwa matumizi ya kawaida.


Bei : TSh 360,000 ( Maongezi yapo )

Mawasiliano : waweza nitumia PM ama ukapiga namba 0620175280.

Hiyo namba ni ya kupiga simu za kawaida na message za kawaida. Haipo whatsapp. Unaweza piga ama kutuma sms muda wowote ule.

Sababu ya kuiuza ni kwamba nimepata laptop nyingine, hivyo hii sina nayo matumizi kwa sasa.

Picha zinafuata chini.

View attachment 630832

View attachment 630833

View attachment 630835

View attachment 630837

View attachment 630838

Karibuni nyotee.
nahitaji uko pande zipi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom