Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habarini mimi naitwa Avittrust niko hapa jijini tanga nina kituo cha kufundisha tution kama kichwa kinavoelezea hapo natafuta wanafunzi niwafundishe tution...katika kituo changu ...haswa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wanajamii plz nahitaji asali, ila sina uzoefu wa bei zake, mwenye kujua bei kwa lita na wapi asali nzuri inapatikana hapa dar, asante.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu, nahitaji bajaji iliyo kwenye hali nzuri hapa dsm... tafadhali tuwasiliane haraka pesa ipo tyari....tafadhali utapeli ni kosa kisheria natoa tahadhari kaa mbali.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
We provides you with the right financial tools to get the personal or business funding you need. We can help you turn an adverse situation into a positive outcome. We offer all kinds of financial...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Aina ni Sony Xperia c6833 Android version ni 5.1.1 Ram 2 bg... Internal memory 16gb,cam mp 8 Sim Used Imetoka ulaya najua wengi wenu vyuma vimekaza ntawauzia kwa 350000/ bei ya kuuza sim Haina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Natafuta chumba cha kuweka studio ya Muziki, Chumba kiwepo Magomeni au Kinondoni, Budget yangu ni 70000 kwa mwezi, Chumba kiwe mahali penye usalama na pasipo na Kelele nyingi. Kisiwe...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Camping experience ndani ya Dar es salaam na kwa mikoa karibu
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Habari wadau,[/SIZE] Ninauza Toyota Hilux double Cabin 2.8 Diesel, Manual Transmission. Bei ni 8,500,000 (8.5 M) mazungumzo yapo kwa serious buyer. Gari ipo Bunju; Dar es salaam. Mawasiliano...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Unasumbuliwa na fangasi,rangi kubanduka kwa muda mfupi jibu lipo kutana na mafundi waliobobea katika maswala ya skimming na rangi nasi tutakutatulia tatizo hilomawasiliano:0692940943 Tupo Dar es...
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Kama kuna mtu anayo au anajua yanapopatikana mafuta halisi ya simba nna shida nayo sana
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Kwa wauzaji simu plz nitajieni bei ya samsung galax grand palm +
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba yeyote anayejua kama kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Tabata karibu na barabara naomba anijulishe. Au kama kuna mtu anahama tunaweza kuongea akaniachia. Nina mgeni wangu toka mkoani...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu mambo vipi, Hongereni kwa mchaka mchaka wa hapa na pale. Tuwape pongezi wadau wote wa Scandinavia express baada ya kimya cha miaka mingi sasa wanarudi tena kwa kishindo licha ya kuwa...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Hallo mwenye Ps4 machine mbili na VR moja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Salaam. Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D au C.,Mileage isizidi 100000km,kutoka kwa mwenye mali. Budget kwa sasa ni 6.5 M. Njoo PM tuseme vizuri
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wadau. Nahitaji Air Compressor yenye specification zifuatazo: 1. Iwe na Piston mbili au zaidi. 2. Iwe na motor ya three phase 3. Storage Tank Size - 250L au zaidi. 4. Pressure - 220 PSI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wanajamvi Ninahitaji dengu tani 200-500 tafadhali kama uko nazo au una source njoo PM au tuwasiliane kwa email qmax.limited@gmail.com
1 Reactions
3 Replies
1K Views
wapendwa nahitaji wakala wa bima wa jubilee nataka kurenew my insuarence ya gari comphncv. Kama inakusu nijibu niko maeneo ya sinza au kama kuna anaejua mawakala wanaoeleweka anijuze na mahali...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanandugu kama yupo mtu anayejua sehemu (Dar es Salaam) nayoweza kupata vifuu vya nazi kwa wingi Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…