Nina shida na chumba cha kupanga Tabata

Nina shida na chumba cha kupanga Tabata

Medecin

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
8,747
Reaction score
24,095
Naomba yeyote anayejua kama kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Tabata karibu na barabara naomba anijulishe.

Au kama kuna mtu anahama tunaweza kuongea akaniachia. Nina mgeni wangu toka mkoani anatarajia kukaa kwa miezi kadhaa.

Cha msingi chumba kiwe Tabata au maeneo ya karibu na ikiwezekana kiwe selfcontained au chumba na sebule.

Naombeni msaada wenu wadau wa JF.
 
Mods naomba msiunganishe Uzi huu Na ule wa madalali wa vyumba.

Naomba yeyote anayejua Kama Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya tabata karibu Na barabara naomba anijulishe. Au Kama Kuna mtu anahama tunaweza kuongea akaniachia. Nina mgeni wangu toka mkoani anatarajia kukaa kwa miezi kadhaa. Cha msingi chumba kiwe tabata au maeneo ya karibu na ikiwezekana kiwe selfcontained au chumba Na sebule.

naombeni msaada wenu wadau wa jf.

baada ya siku tatu mods naomba muufute Uzi wangu huu maana utakuwa hauna kazi
Tabata ipi sasa?
 
Si unajua taratibu za mjini...hapa...gharama za kuuliza, kupelekwa na kuelekezwa lazima zizingatiwe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom