American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 890
- 1,511
Habari, Natafuta chumba cha kuweka studio ya Muziki, Chumba kiwepo Magomeni au Kinondoni, Budget yangu ni 70000 kwa mwezi, Chumba kiwe mahali penye usalama na pasipo na Kelele nyingi. Kisiwe kimechoka.
Kwa mawasiliano Unaweza kuniPM
Kwa mawasiliano Unaweza kuniPM