Habari zenu ninauza mayai ya kuku chotara bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tuna patikana Mbezi ya Kimara.
Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa...
[https://1]
Adam Boukadida, Acting Group Treasurer at Etihad Aviation Group, pictured centre with his Treasury Professional of the Year award, flanked by Matthew Hurn, Chief Financial Officer at...
``````**AFRIsoft Technology Lab.*
_Huduma tunazotoa_
⚙Blog na app yake Tsh 30,000
⚙Adsense account Tsh 50,000
⚙Kutangaza biashara yako kwenye groups za whatapp zaidi ya elfu moja. Tsh 5,000 kwa...
Hello waungwana, naomba kujua bei ya matofali yale ya kujenga bila sementi, yanapandiana tuu, hivi yanauzwaje. Na je ubora wake vip!?
Tafadhali naomba mnisaidie
Tunauza vifaa mbalimbali vya ulinzi.
Pia tunafanya installation kupitia simu yako hii itakufanya uweze kupata taarifa hata ukiwa mbali na eneo lako.
Tuko DAR ES SALAAM KARIAKOO Faya
Mikoani pia...
Wadau nauza simu yangu aina ya Samsung S5. Ni nzima kabisa nimetumia mwaka sahvi. Betri inayokaa na charge sku nzima huku ukitumia.
Nauza sababu nmenua Iphone6. Nayo nyingine S7. Zote natumia...
Kama upo dar njoo pm tuwasiliane, nimeinunua toka dukani tarehe 2/10/2017, ni bado mpyaa haina shida yoyote. (iPhone 6s) naiuza 650k. Bei haipandi wala haipungui.
Jamani kuna mizani mikubwa inauzwa ni industrial scale inaweza kupima hadi kg 3000, inafaa sana kwenye biashara ya kupima mizigo mikubwa, atakayehitaji ani PM nimuanganishe na mhusika,
Habari.
Waungwana hebu naomba offer zetu (in term of cost) kwa ajili hard drive ya ukubwa wa 2tb iwe externa na brand new (sealed) na kabila liwe transcend..
Niko serious na nahitaji haraka.
Hii...
Ninayo kama unataka mkeo awe na joto asikuboe njoo pm na elf 40 yako haina madhara imethibitishwa na tfda.
Inasaidia mwanamke awe na hamu zaidi hata kama amezeeka pia kwa wale dry inasaidia...
Hawa ni aina ya mbwa wenye nguvu sana na wako very agressive ukiwalea vibaya
Ni breed yenye nguvu kuliko zote na hamna mbwa anaeweza kuzungumza mbele ya pitbull
Wamebreediwa kuuwa mbwa wengine...
kwa wale wenye mahitaji ya office,apartment maeneo yafuatayo makumbusho,kinondoni,masaki,msasani office space zipo makumbusho karibu na jengo la tigo bei ni kuanzia $15-16.5 kwa sqmeter mazungumzo...
Helow,
Napenda kusema kwa wahitaji wa mashudu yanapatikana na yanakufikia popote ww unapotaka kwan tuaangalia na ukubwa wa uhitaji wako kwan si bei ghali ni ksh 50 per kilo kama unaihitaj pls...
Kama title inavyojieleza hapo nahitaji sabufa kubwa iliyo katika hali nzuri kwa bei nafuu
Mimi nipo dar
Kama unayo ni pm or comment hapa au weka picha yake niione tufanye biashara