Tecno WX3 inauzwa bei ya ofa

Tecno WX3 inauzwa bei ya ofa

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,894
Reaction score
52,486
Simu imetumika miezi 3
Utapewa charger yake
Risiti zipo
Haina tatizo lolote,
Ipo Ubungo Dar es Salaam


Bei ya kuanzia ni 110,000
Ukihitaji njoo
0755155782
IMG_20171201_092422_354.jpg
 
0654014232
0623961929
0654014232
Hizo namba ni za mtu mmoja.
Wasiliana nae maana yupo hapo hapo dar..
Jieleze Kwamba unauza simu na namba zake umepewa.
Atainunua hiyo simu.
 
We jamaa una maisha ya kizamani sana. Yani umekaa kikoloni zaidi. Si kwa maagizo hayo
Nilijua tu umekalia ujinga na upumbavu...mwenzio namuunganisha na mteja we unakuja kubwabwaja yasio na maana...utashikishwa ukuta...mjini hapa watu wanatumia mpaka visivyotumika...bwege wee
 
Nilijua tu umekalia ujinga na upumbavu...mwenzio namuunganisha na mteja we unakuja kubwabwaja yasio na maana...utashikishwa ukuta...mjini hapa watu wanatumia mpaka visivyotumika...bwege wee
Sasa povu la nn??? Najua ww ni Dalali msomi. Ila maagizo hayo yamekaa kiwaki sana. Cjui unatokea wapi man. Yaani unatoa maagizo utafikili jike lako la ng'ombe linaenda kupandishwa
 
Mbona unakataa kazi yako? Au nikuite kuwadi?? Ila nakuheshimu mm nakuona ww ni dalali bora kusini mwa jangwa la Sahara na jumuiya ya madola Comesa
jf sio ya mchezo mchezo....eti kusini mwa jangwa la Sahara....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kwani hujui ulicho fanya. Ww si middle man wa izo parties mbili zinazotaka zfanye business
 
Hee jamani

Nunueni simu basi
Maneno muweke pembeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom