Nahitaji huduma ya kuchimba (drilling) kisima cha maji

Nahitaji huduma ya kuchimba (drilling) kisima cha maji

Atlast nimempata

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
585
Reaction score
1,165
Natafuta kampuni au mtu mwenye facilities za kuchimba (kudrill) kisima cha maji maeneo ya kibaha
 
Natafuta kampuni au mtu mwenye facilities za kuchimba (kudrill) kisima cha maji maeneo ya kibaha
Mimi nilikua nafanya kazi hizo ila sasahivi nafanya kazi za drilling za sample za udongo, ila naweza kukupa watu wanaofanya kazi hizo Sababu ni industry moja
 
2000000 jamaa anachimba kwa mkono hadi apate NiPM nikupe no yake
Anachimba kwa mkono? Kwa uelewa wangu nadhani inahitajika machine ya kudrill mpaka mwamba wenye maji. Let's say 200m
 
Mimi nilikua nafanya kazi hizo ila sasahivi nafanya kazi za drilling za sample za udongo, ila naweza kukupa watu wanaofanya kazi hizo Sababu ni industry moja
Please naomba uniunganishe
 
Mimi nilikua nafanya kazi hizo ila sasahivi nafanya kazi za drilling za sample za udongo, ila naweza kukupa watu wanaofanya kazi hizo Sababu ni industry moja
Nitaomba pia kama anaweza kujenga platform support ya zege ya simtank la lita 10,000
 
Natafuta kampuni au mtu mwenye facilities za kuchimba (kudrill) kisima cha maji maeneo ya kibaha
Mkuu umeshafanya instalation ya maji kwenye nyumba? Kama bado naomba nikufanyie hyo kazi
 
Drilling & Dam Construction Agency ubungo, Jirani na geti ls Chuo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom