Nahitaji rangi za kuprint T-shirt kwa screen

Nahitaji rangi za kuprint T-shirt kwa screen

Atlantis

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2015
Posts
383
Reaction score
514
Habarini wana-JF, ninaomba kujulishwa sehemu naweza nunua material za kuprint tshirt. Materials kama vile gauze, rangi, emulsion, n.k na bei zake. Kwa upande wa mkoa wa Dar. Kwa yeyote anayefahamu anijulishe tafadhal.
 
Msimbazi kwa mbele =ndio wapi mkuu?
kitua cha polisi msimbaz si unapajua kama ukitokea kariakoo huku...mbele kidogo mkono wa kulia c kuna sheli Bigbon sasa...sasa hapo achana na hyo sheli kulia upande wa kushoto kwako kama unatokea karkoo ukiuliza tu hapo wanakuonesha duka lipo kwa ndani kidogo
 
Back
Top Bottom